Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,514
- 30,563
Mtu kakakaa kwenye siasa miaka minne tu anaanzisha darasa la siasa na uongozi!!!Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Hii nchi ina washenzi wengi sana.