Kwani aliwahi kuwa waziriBado ana ile trauma ya kuukosa uwaziri
Kwani aliwahi kuwa waziriBado ana ile trauma ya kuukosa uwaziri
Wewe acha uongo, ubunge alipewa na Magufuri kabla ya kufarikiU
Ubunge Viti Maalum kapewa na Mama baada ya kumtoa ""Umanara""" wa CCM
Uenezi enzi za polepole??ulikuwa ni zaidi ua uwaziri, ziara kila siku wilayani huko, na anavyopokelewa ni kama waziri mkuu!!waulize mawaziri walivyokuwa wana muogopa!!kwani walijua akikusagia kunguni tu kesho jiwe ana kumwaga!!ila nimeamini kuishi kwa kumtegemea binadamu mwenzako sio kabisa!!!Hivi uenezi utaulinganisha na ubunge..Ubunge unalipa kimapato bwana
Magu aliendesha nchi bila kufuata katiba.Abdalah Posi alivuliwa enzi za Magu akapewa Ubalozi
Mwl Nyerere ndio mwasisi wa huu ujinga. Yaani mnakaa watu milioni 8 eti kwa kuwa ni wana ccm hamtakiwi kuwaza tofautiSiasa za CCM sasa ni kutishana na kukaripiana.
Si ruhusa ndani ya CCM kuwa mkweli
Alikua anakusanya perdiem. Polepole mjanja sana. Alopiga hela za ccm kwa kisingizio cha ziara kukagua utekelezaji wa ilaniUenezi enzi za polepole??ulikuwa ni zaidi ua uwaziri, ziara kila siku wilayani huko, na anavyopokelewa ni kama waziri mkuu!!waulize mawaziri walivyokuwa wana muogopa!!kwani walijua akikusagia kunguni tu kesho jiwe ana kumwaga!!ila nimeamini kuishi kwa kumtegemea binadamu mwenzako sio kabisa!!!
Anawatu nyuma yake.Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Chochote kikimtokea kibaya kuanzia ulipobandika vitisho hivi you will be held accountableKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Heading haisadifu ulichoandika.Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Nyerere alisema, kama alifanya mambo ya hovyo msiyafuate bali chukueni yale mazuri.Mwl Nyerere ndio mwasisi wa huu ujinga. Yaani mnakaa watu milioni 8 eti kwa kuwa ni wana ccm hamtakiwi kuwaza tofauti
Ona choko lingine hiliChochote kikimtokea kibaya kuanzia ulipobandika vitisho hivi you will be held accountable
Daaah!Hahahahaha ndo maana umemwita shujaa maana unahitaji ushujaa kuvunja katiba ya nchi
Posi hawa brothers wana bahati sanaa kufanya kazi serikalin tena high ranksAbdalah Posi alivuliwa enzi za Magu akapewa Ubalozi
Mhh sio viti maalumu. Funika bakuli wee mbwaKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Anaweza kwa urahisi sana! Anamwambia tu “Comprade Polepole, Nataka nikuteue mkuu wa mkoa, jiuzulu, nafasi yako tumpe mwanamama!” Anampa mkoa kwa miezi miwili, anamtumbua!Hivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
Leo mama kamtolea nyongoni gawa hajamtaja..Kiburi cha pole x2 kwani shule yake ya siasa haipo tena?
Wamwache atufunze Kama wao hawataki elimu ya bure,lkn si walisema elimu Haina mwisho?Leo mama kamtolea nyongoni gawa hajamtaja..
Ajifunzi kwa mwezake bashiru