rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,112
- 3,467
Hiyo story jana usiku kuna jamaa yangu n pot kanisimulia hivyo hivyo.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hiyo story jana usiku kuna jamaa yangu n pot kanisimulia hivyo hivyo.
Kigogo ni b Membe na genge lake kama akina Nape nnauye
Una uhakika?
Chombo ya fundi hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu kasema eti Kigogo ni JanuaryView attachment 1734669
Imejipost
View attachment 1734671
Kigogo hayupo mbali na hawa watu nape,membe,january,mzee wa msoga yaani kama sio wote,mmoja wao kati ya hawa lazima anahusika moja kwa moja na kigogo
Hakuna watu empyt kichwani kama ma pot.Hiyo story jana usiku kuna jamaa yangu n pot kanisimulia hivyo hivyo.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kigogo kasoma Sua na mitaa yote anaijua.
Sasa January na Sua wapi na wapi
Huyu ni pumba kabisa kigogo sio taasisi ni mtu kama ingekuwa taasisi wangeshauzana
Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la watu wenye kupeana taarifa mbali mbali, lakini hakuna jambo lisilo kosa mwisho, Ujumbe wake au kama wao kama group. YOU CAN RUN BUT YOU CAN’T HIDE.
Inawezekana pia wasiwe wao maana Kigogo anapata hata Taarifa ambazo hawa Watu hawana
unahamisha magoli. Ujanja wa mbuni kucheza na akili za simba kuokoa watoto wakeHuyu ni pumba kabisa kigogo sio taasisi ni mtu kama ingekuwa taasisi wangeshauzana
Ingekuwa kikundi wangekuwa washagundulika kitambo
Ni Mtu mmoja mwenye mambo mengi, ingekuwa syndicate wangeshadakwa mapema mnoNarudi tena kigogo ingekuwa kikundi kwa muda wote huu, lazima angetokea msaliti mmoja
Afu anaevumisha fb anamujua kigogo au kigogo ni kikundi cha watu, huyo ni mataga kilaza wa fb
[emoji849]Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la watu wenye kupeana taarifa mbali mbali, lakini hakuna jambo lisilo kosa mwisho, Ujumbe wake au kama wao kama group. YOU CAN RUN BUT YOU CAN’T HIDE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mwamba bhasi sijui ni miamba au mwamba[emoji849]View attachment 1736332
Pengine mmoja tu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mwamba bhasi sijui ni miamba au mwamba
Hii ni kweli kabisa. Nadhani 50% ya taarifa zake.Kigogo taarifa nyingine anatoa kama decoys tu za kuwachanganya maboya.
Hapana mkuu kama ni mtu mmoja kuna baadhi ya taarifa asinge pata, harafu ile account ni active sanaHuyu ni pumba kabisa kigogo sio taasisi ni mtu kama ingekuwa taasisi wangeshauzana