Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Halafu ni mtu mwenye juhudi na consistency ya hatari sana. Multitasker.

Anaweza kuwa anapiga spana watu 5 mfululizo huku akiwa ana tweet michezo wiki 3 mfululizo.

Kila muda yuko online [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama mimi ndio Rais hata nikimkamata simfanyi kitu.
Halafu kuna muda anandika vitu vya maana kuishauri serekali

Pia inaonekana Jamaa anaujua vizuri mfumo wa serekali na siasa
 
kigogo anapewa kiki sana na hawa ccm,khaa mtu anakua maarufu kuliko chama cha upinzani???mtu mmoja tu anasababisha twita inafungwa nchini duuu
Kiki gani sasa, wakati watu wenyewe ndiyo wamemfollow
 
Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la watu wenye kupeana taarifa mbali mbali, lakini hakuna jambo lisilo kosa mwisho, Ujumbe wake au kama wao kama group. YOU CAN RUN BUT YOU CAN’T HIDE.
 
Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la watu wenye kupeana taarifa mbali mbali, lakini hakuna jambo lisilo kosa mwisho, Ujumbe wake au kama wao kama group. YOU CAN RUN BUT YOU CAN’T HIDE.

Hiyo ilinipita

Alisemaje kuhusu mke wa nikki??[emoji848] mama zury
 
Back
Top Bottom