Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Kigogo humu jf kaeka picha y lissu kweny avatar yake mbishi balaaa
 
Kigogo ni mwenye akili nyingi sana hao wote sijaona anayefikia hata nusu ya akili zake.Sidhani
Halafu ni mtu mwenye juhudi na consistency ya hatari sana. Multitasker.

Anaweza kuwa anapiga spana watu 5 mfululizo huku akiwa ana tweet michezo wiki 3 mfululizo.

Kila muda yuko online 🤣🤣🤣

Kama mimi ndio Rais hata nikimkamata simfanyi kitu.
 
Kigogo ashajulikana tangu Jana akina Vero wa FB wamchape spana , nan hamjui Maria sarungi , nan hamjui fatma karme? Hata Mzee alifahamu sema ndo hvo kuwagusa Sana direct watoto wa vigogo Napo kuna shida yake ilibid akae Tu kimya avumilie matusi mpak alipokufa ...... Hao akina February , sjui wanataka nini kwenye hii nchi au wamemilikishwa , anyway JPM amekufa Ila tunaenda shuhudia vitasa vikali sana Tangu nchi hii upate Uhuru ......
 
Kigogo hayupo mbali na hawa watu nape,membe,january,mzee wa msoga yaani kama sio wote,mmoja wao kati ya hawa lazima anahusika moja kwa moja na kigogo
Mshawahi kusema kigogo ni zitto[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama mmesikia Mabeyo vizuri...mtakuja kurudi hapa.

Amemwambia Mh Raisi kuwa ana dokezo aliloachiwa na Magufuli.
 
kigogo anapewa kiki sana na hawa ccm,khaa mtu anakua maarufu kuliko chama cha upinzani???mtu mmoja tu anasababisha twita inafungwa nchini duuu
 
Back
Top Bottom