Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Kibonzo; msako wa kumpata Kigogo unaendelea

Inawezekana pia wasiwe wao maana Kigogo anapata hata Taarifa ambazo hawa Watu hawana
Kigogo hayupo mbali na hawa watu nape,membe,january,mzee wa msoga yaani kama sio wote,mmoja wao kati ya hawa lazima anahusika moja kwa moja na kigogo
 
Kigogo sio mtu mmoja ni group la watu tofauti tofauti, aiwezekani mtu mmoja kujua mpaka mambo ya Nikki wa pili, mke wake kupelekwa Wista’s Inn,taarifa za hali ya ugonjwa wa Hayati Magufuli,yaani yeye kila kitu anakijua hapana siamini kama ni mtu mmoja anayeendesha hiyo show,litakuwa kundi la watu wenye kupeana taarifa mbali mbali, lakini hakuna jambo lisilo kosa mwisho, Ujumbe wake au kama wao kama group. YOU CAN RUN BUT YOU CAN’T HIDE.
Ingekuwa kikundi wangekuwa washagundulika kitambo
 
Kigogo ashajulikana tangu Jana akina Vero wa FB wamchape spana , nan hamjui Maria sarungi , nan hamjui fatma karme? Hata Mzee alifahamu sema ndo hvo kuwagusa Sana direct watoto wa vigogo Napo kuna shida yake ilibid akae Tu kimya avumilie matusi mpak alipokufa ...... Hao akina February , sjui wanataka nini kwenye hii nchi au wamemilikishwa , anyway JPM amekufa Ila tunaenda shuhudia vitasa vikali sana Tangu nchi hii upate Uhuru ......
Hivyo vinyogori vyako navyo havina huo uwezo!
 
Huyu hapa
FB_IMG_1613628934776.jpg
 
Halafu ni mtu mwenye juhudi na consistency ya hatari sana. Multitasker.

Anaweza kuwa anapiga spana watu 5 mfululizo huku akiwa ana tweet michezo wiki 3 mfululizo.

Kila muda yuko online [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama mimi ndio Rais hata nikimkamata simfanyi kitu.
Kabisa,ni asset.
 
Narudi tena kigogo ingekuwa kikundi kwa muda wote huu, lazima angetokea msaliti mmoja

Afu anaevumisha fb anamujua kigogo au kigogo ni kikundi cha watu, huyo ni mataga kilaza wa fb
 
Back
Top Bottom