Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,818
- 11,542
Howdy,
Wakuu hivi tuseme ule ukweli, kibongobongo ni aina ya biashara ipi rahisi kutusua kati ya uzalishaji, uchuuzi(ulanguzi) au udalali? By kutusua simaanishi Levo za kina Mo na bakhresa.
Namaanisha zile level za kujisustain middle income, nyumba kali ila sio mansion, ndinga kali ila siyo shangingi, watoto wanapanda basi la njano ila siyo international, majirani wanasema unaringa ila siyo majirani wana pool party. Levo hizo
Wakuu hivi tuseme ule ukweli, kibongobongo ni aina ya biashara ipi rahisi kutusua kati ya uzalishaji, uchuuzi(ulanguzi) au udalali? By kutusua simaanishi Levo za kina Mo na bakhresa.
Namaanisha zile level za kujisustain middle income, nyumba kali ila sio mansion, ndinga kali ila siyo shangingi, watoto wanapanda basi la njano ila siyo international, majirani wanasema unaringa ila siyo majirani wana pool party. Levo hizo