Kibongo bongo madirisha ni lazima yawe na grills

Unaimarisha fensi na mbwa na security alarm plus camera......
mambo ya kuweka grill yamepitwa na wakati...
lakini pia majengo kama haya hayapatikani uswazi......
is a matter of neighborhood
Raha ya majengo kama haya ujengee mlimani, ukiangalia view ya nje unona kijani tu. Uswaz view ni mifereji ya maji machafu kutoka kwenye caro ya vyombo na bafuni.
 
Ukiwa na uzio wa kueleweka wenye ulinzi, unaweza usiweke grill, ila gharama za hivyo vioo nazo zimechangamka kidogo.

Ila sie watu tunamahangaiko sana, gari inakuja kutoka nchi za watu unaanza kuitoboa toboa kupiga ribit hadi logo na taa vibaka wasitembee navyo. Unajiuliza huko ilikotoka inamaana huu wizi wa rejareja haupo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…