Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya wezi
Kuna baadhi ya vioo hata hio fatuma haipenyi zaidi ya crack tuHapa wanatupa Fatuma vioo kwisha habari yake.
Security...
Unaimarisha fensi na mbwa na security alarm plus camera......Hapa wanatupa Fatuma vioo kwisha habari yake.
Raha ya majengo kama haya ujengee mlimani, ukiangalia view ya nje unona kijani tu. Uswaz view ni mifereji ya maji machafu kutoka kwenye caro ya vyombo na bafuni.Unaimarisha fensi na mbwa na security alarm plus camera......
mambo ya kuweka grill yamepitwa na wakati...
lakini pia majengo kama haya hayapatikani uswazi......
is a matter of neighborhood
Ila kuna nyumba ipo ununio pale haina gril hata moja na hawajaweka fence na nyumba ya ghorofaCracks zinaharibu muonekano na uzuri wa nyumba.
Ni kweli na ukibahatika kuishi maeneo kama haya hata afya ya mwili na akili inaimarika...Raha ya majengo kama haya ujengee mlimani, ukiangalia view ya nje unona kijani tu. Uswaz view ni mifereji ya maji machafu kutoka kwenye caro ya vyombo na bafuni.
Unajua unene wa hicho kioo ni mm ngapi?
Daaahh, rumenikumbusha mbali sanaNdio maana huku vijijini tunaweka dirisha la mbao, ukilifunga hata mchana chumba kinakua giza totoro
Nyumba karibu zote bongo ni mastoo ya kutunzia watu. Shida moto ukitokea