Kibiashara hapo napo tumekula hasara kama nchi.

Kibiashara hapo napo tumekula hasara kama nchi.

Wagumu Tunadumu

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2022
Posts
7,593
Reaction score
23,194
Hili dude kila mara napoliona hapo kwenye karakana ya mameli,naona kabisa hii ni hasara nyingine baada ya likichwa limoja kufanya maamuzi ya kutumia pesa za watanzania

Kidogo angekuwepo yeye angeweza force mambo mpaka ya kawa,nazan angepiga marufuku malori kusafirisha mizigo kwenda huko uganda na nchi zilizo jirani na huko ili mzigo mkubwa upite majini

Maana nawaza ninani atakubali kusafiri kutoka mwanza kwenda bukoba afu apite mpaka mara huo muda nani atakuwa nao,maana dunia yenyewe ya sasa imeshakuwa ni ya kukimbia,muda sio mali tu ni dhahabu
images (5).jpeg
 
Ni suala la muda tu kabla haijatelekezwa kwani mwenye nia nayo alishatangulia mbele ya haki. This is CCM bwana, hatutaki maendeleo hapa nchini.
Wazo la kingese sana hili

Kwani hiyo meli jiwe nsio angekua anapanda na kuiendesha na kulazimisha watu wapqnde?

Wabongo mmekua na akili ndogo sana

Lord have mercy
 
Wazo la kingese sana hili

Kwani hiyo meli jiwe nsio angekua anapanda na kuiendesha na kulazimisha watu wapqnde?

Wabongo mmekua na akili ndogo sana

Lord have mercy
Sasa huoni kama wewe ndiyo mwenye akili ndogo kuwaza haya uliyoandika?
 
Back
Top Bottom