Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Hii michezo huwa ni wizi mtupu, rafiki zangu walipewa ushindi wa milioni moja kila mmoja ila kila mmoja alitakiwa kurudisha laki 9.
Acha utani bro. Kweli?
Hii michezo huwa ni wizi mtupu, rafiki zangu walipewa ushindi wa milioni moja kila mmoja ila kila mmoja alitakiwa kurudisha laki 9.
Acha utani bro. Kweli?
N kwa wale walioshinda zile Hyundai i10 illikuwa mazabe ama stori ya kweli
kwel labda mshtuko, kuna dada alizimia wakati tunapewa boom la first year,tulipewa cash laki7 na 85 ya first semester! Ile kupewa na kuambiwa ahakikishe dada wa watu puuu chini, ikabid 2mpe first aid
hahahahahaha! Nahisi hata mi nikipata hiyo 10m ya ghafla lazima nipoteze faham kidogo. Lol.
Jamani mbona kidogo tu hizo? Mimi pesa kubwa kabisa kushika kwa mara ya kwanza kwa mara moja ilikuwa mil. 2.6 mwaka 2000 likiwa ni bumu la mwaka mzima wakati nasoma Msc. pale UDSM. Sikuona kama ni pesa nyingi sana nilitia kwenye begi nikaishia zangu Ubungo Hostel maana tulikuwa tumelipwa kwa check na sponsor wetu tukaenda kuchukulia Bank huko city centre. Kwa sasa hivi labda nipewe trilioni moja ndo zaweka kunichanganya.
Acha utani bro. Kweli?
Jamani mbona kidogo tu hizo? Mimi pesa kubwa kabisa kushika kwa mara ya kwanza kwa mara moja ilikuwa mil. 2.6 mwaka 2000 likiwa ni bumu la mwaka mzima wakati nasoma Msc. pale UDSM. Sikuona kama ni pesa nyingi sana nilitia kwenye begi nikaishia zangu Ubungo Hostel maana tulikuwa tumelipwa kwa check na sponsor wetu tukaenda kuchukulia Bank huko city centre. Kwa sasa hivi labda nipewe trilioni moja ndo zaweka kunichanganya.