Hypothesis yangu ni kuwa waliofanya tukio hili na lile a Ulimboka ni wahalifu na sio serikali kutokana na hiyo unayoiita Modus Operandi.
Kwa vile jamii ilijengwa kuamini kuwa ni serikali, ndio maana wahalifu wakachomekea vile vile ''Afande mshuti''
Ni mazuzu tu watakaoamini kirahisi kwamba hao ni maafande. Hao huenda walikuwa rafiki zake tangu zamani ila wakabadilika kuwa mahasimu. Acha FBI na CIA wahusishwe.
.......
Sio lazima wawe polisi, possibly walikuwa wanapoteza ushahidi (possibly wanamsakizia mtu kesi hapo)
......
Na hizi kampuni za ulinzi binafsi hazitumii afande?
......
Tume tume tume,kila siku tume jamani tumecoka na tume hizi ambazo matokeo yake huwa hatuyajui wala kuambiwa.
Very interesting especially ukishasema ni mystery! Ukisema watu walioko serikali hawatumii hata 5% ya 10% (i.e 0.5% < 1%) nakataa on the basis kwamba hiyo quantification ni subjective.
Huo uhalifu wa namna hiyo unatokea hata katika nchi ambazo wewe unaamini kwamba wanatumia hiyo 10% yao yote mfano Marekani na Uingereza!
All in all ni kuwa ume over react kwa kuwashambulia wote walioko serikali, kitu ambacho nafikiri sio sawa.
Hili swala huenda likawa ni zaidi ya siasa, Tuwe objective kwenye kujadili mambo zaidi ya kiuweka upinzani wetu wa kisiasa mbele kwa kila jambo.
Ungekuwa right serikali ingeshawashika hao wahalifu. Kigugumizi cha nini? especially kwenye kesi ya Ulimboka alitoa all the details ambazo zingefanywa wahusika washikwe, lakini alishikwa mtu, hapana. ooh mkenya.
Sasa Kova anakuja na mpya kwamba hao sio wahalifu ni kwamba walikuwa wana kisasi naye kwahio hapo ndiyo mwisho wa uchunguzi. Nilidhani kazi ya polisi ni kulinda raia wake kumbe nilijidanganya.
amani my ASSEti Tanzania kisiwa cha aman!!!!!
Mkuu polisi haifanyi kazi kwa hisia za watu, ni uchunguzi huwa unafanywa.
Initial assessment huwa inakubalika ni kama vile Nchimbi alivyosema mauaji ya padri ni tukio laugaidi.
Usisiasishe kila kitu.
Nchi ya kung'oana meno
na kucha bila ganzi. Watanzania masifa sana, eti nchi ya amani, aha
nani kakwambia!
Sio lazima wawe polisi, possibly walikuwa wanapoteza ushahidi (possibly wanamsakizia mtu kesi hapo)
......
It is a setup,someone is trying to flame someone.Hilo neno Afande laweza kuwa limetumiwa makusudi to divert suspiction(sp?) to draw away from the really criminal.Na hizi kampuni za ulinzi binafsi hazitumii afande?