Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,122
- 818
Ni jambo la bahati mbaya sana kwamba, ndani ya Chadema anaungwa mkono na vijana wajinga.
Nimekwazika sana hapa naomba elekezo.
Ni jambo la bahati mbaya sana kwamba, ndani ya Chadema anaungwa mkono na vijana wajinga.
Absalom Kibanda The editor of Tanzania Daima is really an attack pit-bull that Freeman Mbowe unleashes once in a while. (Deodatus Balile is a pitbull for Rostam Aziz). The problem with Kibanda is the "Mbeya problem". He hasn't gotten over the fact that Mwandosya lost to JK fairly and squarely in 2005.
- Mkuu Kibanda, again naomba kukuelewa hebu niweke sawa kwa haya maneno hapo juu ulikuwa na maana gani hasa? Je ni maneno yako kweli au?
- Unasema Zitto ajifunze tabia za ki-CCM, halafu tena unakuja na maneno mapya na kuwalaumu CCM kumshinikza Zitto kugombea? Mbona unajichanganya sana mkuu?
Respect
Field Marshall Es!
Kwangu bado haja-hit points HATA MOJA zinazonifanya niamini kuwa Zitto HAWEZI kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA na wala chini ya uenyekiti wa Zitto eti CHADEMA haitakuwa bora!Nasisitiza tena SABABU ZA KIBANDA NI LEGELEGE MNO na HAZINA NGUVU YEYOTE KIKATIBA!
Kibanda tuache demokrasia ichukue mkondo wake hasa ukitilia maanani kuwa ndani ya katiba ya CHADEMA hamna sehemu inayomkataza mtu yeyote mwanachama asigombee wala eti ashauriane na incumbent akitaka kugombea!
KIBANDA
mbona Lwakatare amepewa kadi bila kusoma itikadi ya chama?
inaonekana Mbowe unataka awe Mwenyekiti kwani umekuwa mkali sana mkuu.
Sio mbowe anayeandamwa na hoja ya udini na ukabila ni Chadema ndio inayoandamwa. Atoke mbowe aje zitto bado Chadema itaandamwa, as long as it is a threat to CCM. Spin doctors wamejaa CCM, vingunge kwa vijana, hawawezi kuishiwa cha ku-spin eti kwa vile mbowe ameondoka.
Tatizo haliwezi kuwa Zitto kuchukua fomu kwani ana haki zote za kugombea uenyekiti na amefuata taratibu zote, Dr slaa amethibitisha hili. Mbowe amekakaririwa na magazeti akisema kwamba hana tatizo na hilo. Zitto nae amesema amechukua fomu ili aimarishe chama. Ni vema tukawaamini mpaka hapo watakapokwenda kinyume na maneno yao.
Tatizo nionavyo mimi ni wapambe. Wapambe wa wanasiasa siku hizi kampeni kwao ndio dili. They will go to any length kuhakikisha mtu wao anapita, yote haya kwa sababu ya kulinda maslahi yao ama kutegemea kupewa vyeo mgombea wao akipita. Wanapiga kampeni kama vile uchaguzi ukishapita basi walioshindwa watajitoa kwenye chama na kutokomea kusikojulikana. Hawa wakina RA na EL wako sana hata kwenye vyama vya upinzani. Zitto anatakiwa awe mwangalifu sana kushauriwa na marafiki ambao wanaiona chadema kama kituo cha polisi. Hawajali mustakabali wa chama. Hawa ndio wakina umar na msafiri mtalemwa "vijana wajinga" anayewaongelea huyu mhariri aliyekurupuka wa gazeti la mbowe.
Kibanda amejieleza vizuri sana hapa JF, mimi nimemwelewa. Anamfahamu zitto fika, hilo halina ubishi. Lakini kama kweli alikuwa anataka kukisaidia chadema haya maelezo aliyoyatoa humu angeyaweka kwenye makala yake angeeleweka na hata hiyo heading ya makala angeibadilisha. Alichokifanya ni kumshambulia zitto na kuchochea uhasama uliopo kati ya wapambe wa hawa viongozi wawili. Anaiendeleza hii vita kwa faida ya nani? Mwisho wa siku Kibanda nawe unakuwa kama hao "vijana wajinga", makala yako is very damaging to the party, ungekaa kimya kama bosi wako usubiri chadema waamue wenyewe. Upende usipende gazeti lako ambalo ni la mwenyekiti wa chadema lina influence sana kwa wanachama wa kawaida wa chadema. Kwa kutumia maneno yako mwenyewe "Lina shepu" mwelekeo wa chama....
Nimejifunza kwako. Jamvi lina vichwa vinavyoona mambo kama wewe. Hekima yako nimeikubali 99.5%. Wanajamvi wengine wajifunze kwako. Ndugu yangu Halisi akusome na kukuelewa.
U deserve my apology.
Hebu tuachane na Kibanda hana mantiki,
Turudi katika maswali aliyouliza Mkumbo na nilililouliza mimi. Kwanini Zitto uchaguliwe kuwa Mwenyekiti?
Je Rostam ni fisadi?
Zitto tupatie hayo majibu hata kwa mistari miwili tu
Mkuu Kibanda, kwani Halisi ameandika nini kinachotofautiana sana na hicho alichoandika Nyumbu?
Tatizo nionavyo mimi ni wapambe. Wapambe wa wanasiasa siku hizi kampeni kwao ndio dili. They will go to any length kuhakikisha mtu wao anapita, yote haya kwa sababu ya kulinda maslahi yao ama kutegemea kupewa vyeo mgombea wao akipita. Wanapiga kampeni kama vile uchaguzi ukishapita basi walioshindwa watajitoa kwenye chama na kutokomea kusikojulikana. Hawa wakina RA na EL wako sana hata kwenye vyama vya upinzani. Zitto anatakiwa awe mwangalifu sana kushauriwa na marafiki ambao wanaiona chadema kama kituo cha polisi. Hawajali mustakabali wa chama. Hawa ndio wakina umar na msafiri mtalemwa "vijana wajinga" anayewaongelea huyu mhariri aliyekurupuka wa gazeti la mbowe.
Mengi yamesemwa, mengi yameandikwa lakini ukweli unabaki pale pale kwamba, katika hili Tanzania Daima linaiangalia kambi ya upinzani zaidi kuliko Mbowe au Zitto. Hatuko tayari kuona upinzani ukidhoofishwa na nguvu yoyote ile iwe ni ya kutoka ndani au nje ya Chadema. Yeyote anayetishia kuiua Chadema au CUF kwa njia zozote zile wakati tukiwa na vyama hivyo viwili pekee vyenye kuonyesha mwelekeo kwa sasa, wapenda mageuzi hatuna budi kukemea tena kwa sauti kali na wakati mwingine kwa lugha isiyo ya kawaida.
Uandishi wa habari hauna itikadi bali unaongozwa na dhana ya ukweli 'TRUTH' ambayo hata wanafalsafa wangali wakitafuta kujua maana yake halisi kwani UKWELI nao ni relative na si objective.
Ukifuatilia JF Kibanda na Zitto wanatumiwa na RA kwani historia nzima tokea nyuma zinajieleza. (Mungu atatuhukumu kama ni hisia)
Kitila humu JF wengine hatuna upande sisi kwetu ni Maslahi ya Taifa kwanza. Kitila ulivyomjibu Kibanda ukweli ni kuwa na wewe tulivyokusoma umeegemea Upande wa Zitto au sijui ndo Kampeni sielewi.Kibanda: