measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,418
Mwigulu Nchemba hajawahi kukanisha na aje hapa abishe alivyomtuma Ludovick.... Endelea kuchimba not long utaupata ukweliHivi wewe na akili zako timamu ulikubaliana na maelezo ya Marando na zile kauli za wabunge kuhusu hizo pesa alizotuma Mwigulu?
Mbona mnaichukulia hii ishu kirahisi rahisi hivyo? sikiliza mkuu, intelijensia yangu sina shaka nayo, haya yote unayoyaweka hapa usidhani unanishangaza, yote yamekuwa yakisemwa na kuaminiwa na watu wenye maono mafupi kama wewe, mimi nachimba na kutafuta kiini zaidi cha huu mkasa.
Last edited by a moderator: