900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,739
- 6,109
halafu wale wachungaji,mapadre na mashekhe uchwara hutawasikia wakikemea huu upuuziMagufuli again, aisee!
halafu wale wachungaji,mapadre na mashekhe uchwara hutawasikia wakikemea huu upuuziMagufuli again, aisee!
hujui ni sawa na kusema musiba akigombea uraisi badala ya magufuli ccm watapata hasara ganiKisheria ipoje? inawezekanaje mwanachama wa chama kingine kuchukua fomu kwa jina la chama kingine, Wakati Mkurugenzi wa uchaguzi anazo taarifa za wagombea wote na vyama vyao? hapa Imechukuliwa fomu kwa jina la Chama Kikuu Chadema je kuna hasara gani Chadema kitazipata?
Naunga mkono hojaUPOLE UKIZIDI UNATOAMO UJINGA, CHADEMA WASHAKUA WAJINGA
Kuna mambo mawili naamini CDM watayafanya
1. Kutoa taarifa polisi, pamoja na hili kupeleka malalamiko yao tume ya uchaguzi kwa kilichotokea
2. Waonyeshe jinsi msimamizi wa uchaguzi anavyo lifanya jambo hili kuwa hawezi kuchukua hatua hadi pale atakaporudishiwa fomu iliyochukuliwa. Nimemsikiliza kiongozi wa CDM akieleza kuwa fomu ilichukuliwa kabla CDM hawajachagua mgombea wao. Katika yote hili ndio rahisi kujiridhisha kama ni kweli na kama ni hivyo basi ile formu ni batili moja kwa moja. Pia kuna list ya CDM je ni nani alichaguliwa?
Sasa mama kushinikiza CDM wamleteee ile fomu anategemea wao watampata wapi huyo "mhalifu"? Cha ajabu kabisa inasemekana hawana namba za simu za wagombea wala anuani za makazi yao. Hivi ni vitu ambavyo havina mjadala vinatakiwa viwepo vinginevyo NEC hawako serious. Mama anashikilia barua aliyoletewa ni halali-anajuaje kuwa ni halali wakati wahusika wana mwambia si halali. Uhalali si signature tu bali na contents za barua. Anasema sio swala la busara ni swala la sheria. Kama sheria ina mapungufu unafanya je.
Matokeo kama haya yanathibitisha bado tuna elements za ushenzi. Badala ya kudhibiti washenzi, tunajaribu kuwakingia kifua kwa manufaa ya kisiasa.
NEC imshugulikie huyu mama, ana mambo ya kipumbavu kabisa.