johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Aliyekuwa meya wa ubungo Jacob Boniface amesema kuwa mwanachama wa CCM aitwaye Athuman Abdallah Sudi amechukua fomu za kugombea Ubunge kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo kwa jina la CHADEMA.
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Jacob amesema hii ni mara ya pili Mkurugenzi huyo anaihujumu CHADEMA kwa kutumia barua fake.
Jacob ameripoti haya katika akaunti yake ya twitter.
Maendeleo hayana vyama!