Kibali cha kuomba tena kazi utumishi

Ni hivi Mimi ni principal human resources officer grade 1 niliajiriwa serikalini Kama human resources officer grade II mwaka 2006 ninafahamu yote kuhusu utumishi wa umma nje ndani.
Ninafahamu kwamba Ili mtu asomeke kwamba alikuwa mtumishi wa umma ni kupitia mfumo unaoitwa LAWSON ambao ni mfumo unaotumika kulipia mishahara kupitia hazina,
Ninafahamu pia kuwa LAWSON inatumika Sana mawizarani, sekretarieti za mikoa , halmashauri na baadhi ya taasisi za umma.
Ninafahamu pia kwamba baadhi ya taasisi za umma hazitumii mfumo wa LAWSON kulipia mishahara hivyo ni ngumu kumfahamu.
Hata hiyo LAWSON yenyewe inamapungufu nakupatia scenario ya mapungufu ya LAWSON Kuna mtu namfahamu alikuwa ameajiriwa Serikalini yupo halmashauri Kama afisa ustawi huyu jamaa aliruhusiwa kwenda kusoma masters mshahara wake akawa analipwa Kama kawaida.
Baada ya kumaliza course work kipindi Cha research akaomba kazi flani aliiona imetangazwa na sekretarieti ya ajira akaotwa kwenye interview na akafaulu sekretarieti ya ajira wakampangia kasi hiyo ilikuwa ni wizara ya mambo ya ndani ambapo walimpokea na wakaanza kumlipa na mshahara,
Yaani nakwambia hutu mtu alikuwa anakula mishahara miwili kwa kipindi Cha karibia miezi 6 alippmaliza research akaenda kule halmaahauri akaacha kazi akachukua kabisa LAPF yake akaendelea na kazi wizara ya mambo ya ndani.
Usipende kutoa kaahfa kwa watu usiowajua kwa kifupi hata wewe Kama unataka kazi Serikalini na unasifa niambie ninakonection kubwa sekretarieti ya ajira Kama Kuna kazi wametangaza na una sifa nikikurecomend kwake lazima akupangie hiyo kazi
Samahani mkuu hiyo lugha ni katika kueleweshana na sio kejeli

Nashukuru Mungu mimi tayari nimeshapata kazi kwenye shirika la umma(kupitia utumishi)

Ahsante.
 
Unaombaje kibali na hakuna nafas. Kibali kikitolewa maana yake ni kwamba unaingizwa kwenye payroll. Na hua maombi ya hicho kibali kinaitwa KUOMBA KUENDELEA KUTUMIA CHECK NUMBER. So ukiruhusiwa maana yake check no yako inakua activated unaanza kula mshahara
Wewe unafahamu ni hivi practical na nia ya mazumuni ya kuomba kibali Cha katibu mkuu kiongozi ni kurudishwa kazi kazini kwenye nafasi yako ile ile.
Kwba Kama Mimi nilikuwa no mfanyakazi Serikalini Kama princiy hro then nikaona nofanye mambo yangu nikaamua kuacha kazi , then nikaacha. kazi, nikafanya issue zangu then nikaona upepo hauendi vizuri nikafikiria nirudi kwenye kazi yangu ya u hro Serikalini niliyoiacha.
Sasa happy ndipo inabidi uombe kibali kwa katibu mkuu kiongozi kupitia kwa aliyekuwa mwajiri wako ambaye lazima wakati anapitisha hiyo barua aeleze bado anakuhitaji na nafasi hiyo ipo wazi na imebajetiwa happy ndio katibu mkuu kiongozi anaweza kutoa kibali Cha mtu huyo kurudishwa kazini katika kilekile Cheo alichokuwa nacho wakati wa kuacha kazi pamoja na kuendelea kutumia ile ile check number yake.
Sasa kama mtu uliacha kazi Serikalini ukaona serikali imetangaza kazi nyingine halafu kwenye taasisi siyo ile uliyokuwa unafanya kazi unaweza ukaomba ukafanya usaili ukafaulu na Wala serikali isijue Kama ulishakuwaga mtumishi Serikalini na Wala hakuna umuhimu wa kuomba kibali Cha katibu mkuu kiongozi
 
Jembe, kama utatakiwa tena kuingizwa kwenye payrol hauwez kuingizwa kwa check namba mpya, lazima ileile halafu ndo waihamishe. Kwahyo hata kaz mpya ni lazima kibali
Wewe unafahamu ni hivi practical na nia ya mazumuni ya kuomba kibali Cha katibu mkuu kiongozi ni kurudishwa kazi kazini kwenye nafasi yako ile ile.
Kwba Kama Mimi nilikuwa no mfanyakazi Serikalini Kama princiy hro then nikaona nofanye mambo yangu nikaamua kuacha kazi , then nikaacha. kazi, nikafanya issue zangu then nikaona upepo hauendi vizuri nikafikiria nirudi kwenye kazi yangu ya u hro Serikalini niliyoiacha.
Sasa happy ndipo inabidi uombe kibali kwa katibu mkuu kiongozi kupitia kwa aliyekuwa mwajiri wako ambaye lazima wakati anapitisha hiyo barua aeleze bado anakuhitaji na nafasi hiyo ipo wazi na imebajetiwa happy ndio katibu mkuu kiongozi anaweza kutoa kibali Cha mtu huyo kurudishwa kazini katika kilekile Cheo alichokuwa nacho wakati wa kuacha kazi pamoja na kuendelea kutumia ile ile check number yake.
Sasa kama mtu uliacha kazi Serikalini ukaona serikali imetangaza kazi nyingine halafu kwenye taasisi siyo ile uliyokuwa unafanya kazi unaweza ukaomba ukafanya usaili ukafaulu na Wala serikali isijue Kama ulishakuwaga mtumishi Serikalini na Wala hakuna umuhimu wa kuomba kibali Cha katibu mkuu kiongozi
 
Ni hivi Mimi ni principal human resources officer grade 1 niliajiriwa serikalini Kama human resources officer grade II mwaka 2006 ninafahamu yote kuhusu utumishi wa umma nje ndani.
Ninafahamu kwamba Ili mtu asomeke kwamba alikuwa mtumishi wa umma ni kupitia mfumo unaoitwa LAWSON ambao ni mfumo unaotumika kulipia mishahara kupitia hazina,
Ninafahamu pia kuwa LAWSON inatumika Sana mawizarani, sekretarieti za mikoa , halmashauri na baadhi ya taasisi za umma.
Ninafahamu pia kwamba baadhi ya taasisi za umma hazitumii mfumo wa LAWSON kulipia mishahara hivyo ni ngumu kumfahamu.
Hata hiyo LAWSON yenyewe inamapungufu nakupatia scenario ya mapungufu ya LAWSON Kuna mtu namfahamu alikuwa ameajiriwa Serikalini yupo halmashauri Kama afisa ustawi huyu jamaa aliruhusiwa kwenda kusoma masters mshahara wake akawa analipwa Kama kawaida.
Baada ya kumaliza course work kipindi Cha research akaomba kazi flani aliiona imetangazwa na sekretarieti ya ajira akaotwa kwenye interview na akafaulu sekretarieti ya ajira wakampangia kasi hiyo ilikuwa ni wizara ya mambo ya ndani ambapo walimpokea na wakaanza kumlipa na mshahara,
Yaani nakwambia hutu mtu alikuwa anakula mishahara miwili kwa kipindi Cha karibia miezi 6 alippmaliza research akaenda kule halmaahauri akaacha kazi akachukua kabisa LAPF yake akaendelea na kazi wizara ya mambo ya ndani.
Usipende kutoa kaahfa kwa watu usiowajua kwa kifupi hata wewe Kama unataka kazi Serikalini na unasifa niambie ninakonection kubwa sekretarieti ya ajira Kama Kuna kazi wametangaza na una sifa nikikurecomend kwake lazima akupangie hiyo kazi
Inawezekana upo serikalini ila hujui kinachoendelea, sasa hivi lawson ipo makini sana, kama huyo ndugu yako ameajiriwa 2012 kushuka chini inawezekana, ila sio kwa sasa.
 
Mm mwenywe next year nataka nidrop job nkapambane mbele ya safar salary ya 450000 huwezi kutoboa maisha kabisa hapa bongo
Serikalini mara nyingi ni address na sio sehemu ya kutoboa maisha. Jiongeze. Kuna kamsemo sijui Kama bado kanatumika "the grass is always greener outside the fence"
 
Serikalini mara nyingi ni address na sio sehemu ya kutoboa maisha. Jiongeze. Kuna kamsemo sijui Kama bado kanatumika "the grass is always greener outside the fence"
Mkuu ni kwa nini unadhani serikalini siyo sehemu ya kutoboa maisha?
 
Ndio maana neno "kutoboa" nilioiwekea inverted comas kwa maana ya kwamba Ni relative na subjective. Anyway it is ok. " .....Za kuambiwa changanya na zako" JK Kikwete.
 
Ndio maana neno "kutoboa" nilioiwekea inverted comas kwa maana ya kwamba Ni relative na subjective. Anyway it is ok. " .....Za kuambiwa changanya na zako" JK Kikwete.
Wewe uliwah kufanya kazi kule serikalini au unakisia tu?
 
MaHR Uzi wenu mbona hamji kueleza mambo mbalimbali juu ,kuajiliwa tena serikalini
 
Kiongozi Naomba ufafanuzi juu suala la kuomba Likizo ya bila malipo, ili kwa mfano nikafanye kazi kwenye NGO au taasisi zingine zisizo za Serikali. Tafadhali sana mkuu
Ni hivi Mimi ni principal human resources officer grade 1 niliajiriwa serikalini Kama human resources officer grade II mwaka 2006 ninafahamu yote kuhusu utumishi wa umma nje ndani.
Ninafahamu kwamba Ili mtu asomeke kwamba alikuwa mtumishi wa umma ni kupitia mfumo unaoitwa LAWSON ambao ni mfumo unaotumika kulipia mishahara kupitia hazina,
Ninafahamu pia kuwa LAWSON inatumika Sana mawizarani, sekretarieti za mikoa , halmashauri na baadhi ya taasisi za umma.
Ninafahamu pia kwamba baadhi ya taasisi za umma hazitumii mfumo wa LAWSON kulipia mishahara hivyo ni ngumu kumfahamu.
Hata hiyo LAWSON yenyewe inamapungufu nakupatia scenario ya mapungufu ya LAWSON Kuna mtu namfahamu alikuwa ameajiriwa Serikalini yupo halmashauri Kama afisa ustawi huyu jamaa aliruhusiwa kwenda kusoma masters mshahara wake akawa analipwa Kama kawaida.
Baada ya kumaliza course work kipindi Cha research akaomba kazi flani aliiona imetangazwa na sekretarieti ya ajira akaotwa kwenye interview na akafaulu sekretarieti ya ajira wakampangia kasi hiyo ilikuwa ni wizara ya mambo ya ndani ambapo walimpokea na wakaanza kumlipa na mshahara,
Yaani nakwambia hutu mtu alikuwa anakula mishahara miwili kwa kipindi Cha karibia miezi 6 alippmaliza research akaenda kule halmaahauri akaacha kazi akachukua kabisa LAPF yake akaendelea na kazi wizara ya mambo ya ndani.
Usipende kutoa kaahfa kwa watu usiowajua kwa kifupi hata wewe Kama unataka kazi Serikalini na unasifa niambie ninakonection kubwa sekretarieti ya ajira Kama Kuna kazi wametangaza na una sifa nikikurecomend kwake lazima akupangie hiyo kazi
 
Kiongozi Naomba ufafanuzi juu suala la kuomba Likizo ya bila malipo, ili kwa mfano nikafanye kazi kwenye NGO au taasisi zingine zisizo za Serikali. Tafadhali sana mkuu

"H.19 Leave without Pay:
(1) It is the Government's policy not to grant leave without pay to employees. However, the Permanent Secretary (Establishments) may grant leave without pay to public servants provided that he is satisfied that it is in the public interest to do so. Such approval shall be obtained before a public servant goes on leave without pay. (2) Leave without pay may be granted to a public servant who stands for political elections or who attends higher education, a course or training or accompanying a spouse outside the country which is not in the training programme of the employer. Where the public servant is on pensionable terms under Section 18 (b)(i) of the Public Service Retirement Benefits Act, Cap.371 shall apply. Applications for leave without pay described above shall be made through the employer who shall forward it with recommendations to the Permanent Secretary (Establishments), for approval."
 
Nashukuru sana, Mungu akubariki sana
"H.19 Leave without Pay:
(1) It is the Government's policy not to grant leave without pay to employees. However, the Permanent Secretary (Establishments) may grant leave without pay to public servants provided that he is satisfied that it is in the public interest to do so. Such approval shall be obtained before a public servant goes on leave without pay. (2) Leave without pay may be granted to a public servant who stands for political elections or who attends higher education, a course or training or accompanying a spouse outside the country which is not in the training programme of the employer. Where the public servant is on pensionable terms under Section 18 (b)(i) of the Public Service Retirement Benefits Act, Cap.371 shall apply. Applications for leave without pay described above shall be made through the employer who shall forward it with recommendations to the Permanent Secretary (Establishments), for approval."
 
Siku hizi ajira zote zinapita utumishi au kusimamiwa na utumishi halafu hakuna taasisi isiyotumia check number kwasababu mishahara yote inatoka hazina
Mkuu ebu fatilia izi taasisi za serikali uone kama mishahara inapitia hazina mamlaka zote za wanyamapori mfano ngorongoro, tanapa pia mamlaka zote za maji safi na maji taka mf dawasa, mwauwasa, na zingine bado ujaja angent zote za serikali mfano ewura,sumatra,tanroad,Dart mi kwa uelewa wangu kama mshahara wako ulikua unapitia hazina ukaacha ila ukaja hajiriwa kwenye izo taasisi nilzotaja hakuna kuomba kibali maana mishahara yao aipitii hazina na pia mara nyingi izi taasisi zinaajiri zenyewe kama zenyewe ajira zake azipitii tume ya ajira mkuu uliisha sikia tume ya ajira inatangaza au kusimamia nafasi za TANAPA au DAWASA
 
vip kihusi mamlaka ua maji safi na maji taka kwa mfano DAWASCO, MWAUWASA na kazilika malipo yao wanajilipa wenyewe au wanapitia hazina nataka niombe huko niachane na Local Goverment
Sasa na hizi mamlaka siku hizi huwa zinaajiri kupitia utumishi lkn huwa hawatumii check no wanatumia pf no je unaruhusiwa kuomba tena na ukakubaliwa kupitia utumishi???
 
Mkuu ebu fatilia izi taasisi za serikali uone kama mishahara inapitia hazina mamlaka zote za wanyamapori mfano ngorongoro, tanapa pia mamlaka zote za maji safi na maji taka mf dawasa, mwauwasa, na zingine bado ujaja angent zote za serikali mfano ewura,sumatra,tanroad,Dart mi kwa uelewa wangu kama mshahara wako ulikua unapitia hazina ukaacha ila ukaja hajiriwa kwenye izo taasisi nilzotaja hakuna kuomba kibali maana mishahara yao aipitii hazina na pia mara nyingi izi taasisi zinaajiri zenyewe kama zenyewe ajira zake azipitii tume ya ajira mkuu uliisha sikia tume ya ajira inatangaza au kusimamia nafasi za TANAPA au DAWASA
Mkuu kwa sasa ajira karibia nyingi za mashirika yanapitia utumishi nina mfano hai kabisa mimi mwenyewe nimepata kazi moja ya mamlaka za maji safi na maji taka na nilifanya pepa utumishi nikatoboa flesh
 
Back
Top Bottom