Nsanzamahoro
New Member
- Jan 29, 2022
- 4
- 2
Wakuu saalam! Mimi nina swali tu nataka kuuliza. kuhusu utaratibu wa kirejea utumishi wa umma kwa mtu aliyewahi kuwa mtumishi na baadae kuacha kazi ama kufukuzwa kazi.
Mimi nipo katika hilo kundi la kwanza niliacha kazi kwa sababu ambayo sotaitaja hapa, lakini baadae nilipata kazi tena katoka taasisi fulani ya serikali na hivyo nikafuata utaratibu wa kuombewa kibali na mwajori wangu kurejea utumishi na kuendelea kutumia check namba ile ya awali.
Sasa hapa ninataka kujua kwa waluowahi kupitia katika utaratibu huu. Je huchukua muda gani mpaka kupata majibu kuwa umekybaliwa ama kukataliwa?
Ikumbukwe pia nimepita kwenye mahojiano kwa watu waluonitafuta na kunihoji kupata taarifa zangu, kina wakati ana kwa ana na wakati mwingine kwa Simu, ikiwa ni zaidi ya mara tatu.
Ombi uilo kwa sasa lina muda wa miaka 3 na bado mpaka sasa sijajibiwa na nimefuatilia pale utumishi mara kadhaa ninaambiwa tu kwa ufupi kuwa bado wanashughulikia.
Sasa mwenye ufahamu wa hili tafadhali anifahamishe.
Mimi nipo katika hilo kundi la kwanza niliacha kazi kwa sababu ambayo sotaitaja hapa, lakini baadae nilipata kazi tena katoka taasisi fulani ya serikali na hivyo nikafuata utaratibu wa kuombewa kibali na mwajori wangu kurejea utumishi na kuendelea kutumia check namba ile ya awali.
Sasa hapa ninataka kujua kwa waluowahi kupitia katika utaratibu huu. Je huchukua muda gani mpaka kupata majibu kuwa umekybaliwa ama kukataliwa?
Ikumbukwe pia nimepita kwenye mahojiano kwa watu waluonitafuta na kunihoji kupata taarifa zangu, kina wakati ana kwa ana na wakati mwingine kwa Simu, ikiwa ni zaidi ya mara tatu.
Ombi uilo kwa sasa lina muda wa miaka 3 na bado mpaka sasa sijajibiwa na nimefuatilia pale utumishi mara kadhaa ninaambiwa tu kwa ufupi kuwa bado wanashughulikia.
Sasa mwenye ufahamu wa hili tafadhali anifahamishe.