Mkuu, zama inbox kwako.Mkuu kwa sasa ajira karibia nyingi za mashirika yanapitia utumishi nina mfano hai kabisa mimi mwenyewe nimepata kazi moja ya mamlaka za maji safi na maji taka na nilifanya pepa utumishi nikatoboa flesh
Mkuu, zama inbox kwako.Mkuu kwa sasa ajira karibia nyingi za mashirika yanapitia utumishi nina mfano hai kabisa mimi mwenyewe nimepata kazi moja ya mamlaka za maji safi na maji taka na nilifanya pepa utumishi nikatoboa flesh
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira. Namba yangu ya Whatsapp 0624162318.Sio kweli system bado haijabadilishwa Mimi nipo huko najua kila kitu.
Sio kweli system bado haijabadilishwa Mimi nipo huko najua kila kitu.
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa na katibu mkuu Utumishi niombe sekretarieti ya ajira au mamlaka yoyote inayojihusisha na ajira serikalini nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira au mamlaka fulani?Sio kweli system bado haijabadilishwa Mimi nipo huko najua kila kitu.
0629105649 Tafadhali nitafuteJambo la muhimu kabla ya kuomba ni uulizie kwanza kama WAPO HAZINA au WANAJILIPA WENYEWE. kama ni Hazina baba usijisumbue, but kama wanajilipa wenyewe hiyo haina shida.
Otherwise kama wapo hazina na ukiomba, ukipata lazima usubiri mwajiri wako akuombee kibari cha kukuingiza payroll japp mwajiri kama ana roho mbaya atafkia kukutolea nje tu kwamba "wewe huna sifa za kuajiriwa"
Ndiomkuu ni kweli lkn sasa hv kuna mfumo wa ulipaji mishahara kama ulikuwa permanent employee nadhani wakiweka details zako taarifa zitasoma kwamba ushawahi kuajiriwa.....