Ofsaa
Member
- May 14, 2019
- 32
- 30
Habari wana Jukwaa nina maswali kadhaa ambayo nimekutana nayo kwa watu wa karibu nikaona niwashirikishe kupata mawazo yenu.
1. Hivi ukiitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo cha kazi na usipoenda kuchukua, zikitokea kazi nyingine unaweza kuomba au unazuiwa kuomba tena kazi Utumishi?
2. Ukiitwa kuchukua barua unaweza kuwaomba wakubadilishie Taasisi au ndo mpaka usibir miaka 3 ya kuomba kuhama kituo cha kazi ?
NB: nimeuliza kwa Niaba ya mtu
1. Hivi ukiitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo cha kazi na usipoenda kuchukua, zikitokea kazi nyingine unaweza kuomba au unazuiwa kuomba tena kazi Utumishi?
2. Ukiitwa kuchukua barua unaweza kuwaomba wakubadilishie Taasisi au ndo mpaka usibir miaka 3 ya kuomba kuhama kituo cha kazi ?
NB: nimeuliza kwa Niaba ya mtu