Nini kitatokea usipochukua Barua ya Kazi Utumishi?

Ofsaa

Member
May 14, 2019
32
30
Habari wana Jukwaa nina maswali kadhaa ambayo nimekutana nayo kwa watu wa karibu nikaona niwashirikishe kupata mawazo yenu.
1. Hivi ukiitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo cha kazi na usipoenda kuchukua, zikitokea kazi nyingine unaweza kuomba au unazuiwa kuomba tena kazi Utumishi?
2. Ukiitwa kuchukua barua unaweza kuwaomba wakubadilishie Taasisi au ndo mpaka usibir miaka 3 ya kuomba kuhama kituo cha kazi ?

NB: nimeuliza kwa Niaba ya mtu
 
IMG_2906.jpg
 
From my experience wasiochukua kabisa barua hawakutani na changamoto wakati wa kuapply kazi nyingine...ila ukichukua barua ukaripoti ulikopangiwa halafu ukaingia mitini ukiapply badala ya kupata interview namba utajibiwa PLACED kwa miezi kadhaa
 
Habari wana Jukwaa nina maswali kadhaa ambayo nimekutana nayo kwa watu wa karibu nikaona niwashirikishe kupata mawazo yenu.
1. Hivi ukiitwa kuchukua barua ya kupangiwa kituo cha kazi na usipoenda kuchukua, zikitokea kazi nyingine unaweza kuomba au unazuiwa kuomba tena kazi Utumishi?
2. Ukiitwa kuchukua barua unaweza kuwaomba wakubadilishie Taasisi au ndo mpaka usibir miaka 3 ya kuomba kuhama kituo cha kazi ?

NB: nimeuliza kwa Niaba ya mtu
pole sana chief, umepangiwa halmashauri !
 
Back
Top Bottom