BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Na huo utaratibu wa kuhama upoje mkuu, naweza kutueleza kwa ufupi angalau?Wa sasa ni upi mkuu? Huu ndo wasasa. Kuhama na chekNo huo ndo utaratibu unaokubalika, but kama uki resign utaondolewa kwenye payroll afu ukienda tena kule kwingine hautaweza kuingizwa kwakuwa payroll ni ileile uliyoondolewa kwa kupigwa blocku.