Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
hivi Ni wewe uliekimbia mke na watoto ukatoroka na mchumba wa mtu morogoro?Nenda kaandamane basi ukawasaidie. Tangu mmeanza kulialia kila siku mitandaoni ni kitu gani mmefanikiw.
hivi Ni wewe uliekimbia mke na watoto ukatoroka na mchumba wa mtu morogoro?Nenda kaandamane basi ukawasaidie. Tangu mmeanza kulialia kila siku mitandaoni ni kitu gani mmefanikiw.
MAHITA VS KIBATALAhawakawii kutembea na vilipuzi.
hata nyie wanaume wa CCM mnaruhusiwa kufanya jogging yenu.Jogging bawacha
Una jump kutoka thread moja hadi nyingine na kuattack wachangiaji walio na mtazamo tofauti na wako dhidi ya kinachoendelea kuhusu kesi ya mbowe.Nenda kaandamane basi ukawasaidie. Tangu mmeanza kulialia kila siku mitandaoni ni kitu gani mmefanikiw.
Hahaha ccm bwana.Jeshi la Polisi mkoani Pwani limewazuia wanawake wa Chadema kufanya mazoezi ya kukimbia wakiyahusianisha na maandamano
😂
Tunaelekea wapi? Bawacha wanaweza kuwa agenda ya kiusalama kupitia mchakamchaka? Kwamba watu wanakaa vikao wanatoka na haya maazimio au ocd anajifanyia kwa utashi wake?
Inawezekana hawajasajili hizo mbioJeshi la Polisi mkoani Pwani limewazuia wanawake wa Chadema kufanya mazoezi ya kukimbia wakiyahusianisha na maandamano
😂
Tunaelekea wapi? Bawacha wanaweza kuwa agenda ya kiusalama kupitia mchakamchaka? Kwamba watu wanakaa vikao wanatoka na haya maazimio au ocd anajifanyia kwa utashi wake?
mataga pori unarusha miguu wakati umevaa msuli bila chupi.Nenda kaandamane basi ukawasaidie. Tangu mmeanza kulialia kila siku mitandaoni ni kitu gani mmefanikiw.
mataga pori huwa mnajisajili kufanya mazoezi ya viongo??Inawezekana hawajasajili hizo mbio
Yes, huwa tunajisajili mkuu. Fuatilia kwa race organizers.mataga pori huwa mnajisajili kufanya mazoezi ya viongo??
Kwahiyo siku hizi jogging imekuwa ni matusi na uzushi? Ina maana VIP (ambaye sasa ni rais) aliposema watanzania wawe wanafanya mazoezi naye alikuwa anashawishi uzushi na matusi?Piga mkwala tu hao. Kwenye mfumo wetu upinzani wanatakiwa kutoa mchango endelevu kwa nchi sio kupinga kila kitu uzushi na kutukana ovyo.
🤣🤣🤣🤣🤣hata nyie wanaume wa CCM mnaruhusiwa kufanya jogging yenu.
Asante, tupo pamoja ila tusiwatishie hao BAVICHA wanakuja.Nioneshe comment yangu nawaunga mkono au nioneshe comment yangu siwaungi mkono
huu ugoro kamdanganye beki tatu wenu.Yes, huwa tunajisajili mkuu. Fuatilia kwa race organizers.
Ni shida sana mpaka inakera!Jeshi la Polisi mkoani Pwani limewazuia wanawake wa Chadema kufanya mazoezi ya kukimbia wakiyahusianisha na maandamano
😂
Tunaelekea wapi? Bawacha wanaweza kuwa agenda ya kiusalama kupitia mchakamchaka? Kwamba watu wanakaa vikao wanatoka na haya maazimio au ocd anajifanyia kwa utashi wake?
Naona hawakukuachia japo kidogo Waliutoa UBONGO WOTE kudadadeki ccmNenda kaandamane basi ukawasaidie. Tangu mmeanza kulialia kila siku mitandaoni ni kitu gani mmefanikiw.