Kuna watu wanaliwa kwenye dubwi mpaka wanachanganyikiwa.
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata tamaa acheze kidogo ale angalau elfu 50 sasa kwenye kucheza akajikuta kaangia hasara akawa anafosi arudishe angalau pesa aliyokuja nayo kilichomkuta pesa yote ikaliwa akaweka bondi smart phone yake kwa elfu 20 nayo ikaliwa.
kilichomponzaga alikuwa anawa dabo dabo wanyama anawaweka hata mara tano Tano ila return inakuja ndogo mwisho akarudi mweupe.
Mwingine katoka Moro kwenye kazi za ujenzi karudi na kwenye laki na ushee kabla hajafika kwake kaanzia kwenye dubwi mwisho wa siku kaliwa yote
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata tamaa acheze kidogo ale angalau elfu 50 sasa kwenye kucheza akajikuta kaangia hasara akawa anafosi arudishe angalau pesa aliyokuja nayo kilichomkuta pesa yote ikaliwa akaweka bondi smart phone yake kwa elfu 20 nayo ikaliwa.
kilichomponzaga alikuwa anawa dabo dabo wanyama anawaweka hata mara tano Tano ila return inakuja ndogo mwisho akarudi mweupe.
Mwingine katoka Moro kwenye kazi za ujenzi karudi na kwenye laki na ushee kabla hajafika kwake kaanzia kwenye dubwi mwisho wa siku kaliwa yote