kiamaaaaa!

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
duu!kesho kiama,yaan kesho picha linakwisha,"the end "mchungaji wa marekani huyo,mwaka huu naona watumishi wa bwana wanafunuliwa sana mambo makubwa,babu Loliondo full matibabu,na huyu mchungaji huko mbele(marekani)anadai ndo the end,daaa,yaan JF tunaagana hivi hivi,kwa herini jamani!
 
ilikuaga mwaka 2000 na tukapita, ngoja tusubiri hiyo kesho!!
 
mi nshaanza kusoma bibble,na kuomba misamaha kwa niliowakosea wote
 
nakufaa....!!demu wangu bye..jf bye...magamba bye....****** bye...na wewe unayenisoma bye.
 
Kuishi ni kristo kufa ni faida. Wasiwasi ni kwao waendekezao maovu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…