War ForThe Freedom
Member
- Oct 31, 2017
- 26
- 35
Salaaam,
Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu komoja wapo nchini,Ndo nimeingia mwaka wa tatu msimu huu
Sasa juzi tumeripoti chuoni tayari kwa muendelezo wa masomo 2017/18, Kwa kiasi fulani nimefurahi tena kurudi chuoni maana nimepata kuonana na marafiki wengi tulioachana baada ya likizo ndefu ya takriban miezi mi4
Sasa bhana juzi nlikutana na Anita mazingira flan around na chuo, tulipiga stor mbili tatu kisha tukaagana ila mda tukiachana Anita aliniita na kuniomba namba zangu za simu, bila shida me nkampatia.(Anita ni mwanafunzi mwenzangu mwaka wa 3,sisi ni marafiki tu)
Ikiwa imepita kam siku tatu tangu nimpe Anita namba zangu, sasa juzi amentafuta kwa njia ya SMS, bas tukasalimiana na kujuliana hali kwa njia hio ya kuchat,, ila katika uko kuchat chat Anita akaanza kuniambia ye ayupo vizur, kumuuliza kwa nin akasema tayari ameishiwa pesa za matumizi,,,, nikamuuliza kivipi huishiwe pesa wakati juzi tu umepokea Boom(Fedha kwa Makazi na malazi kwa wanafunzi) , et akasema amemtumia kaka yake nyumbani watanue biashara yao,, me nkaona stor nying ikabid nimuulz sasa nkusaidiaje, Anita akasema naomba nimkopeshe japo laki 1 af kaka yake akimrudishia na mimi atanirudishia ela yangu,, me nkaelewa ila nkamwambia ufanye anirudishie mapema pale akipata io fedha,, sasa apo ndo kilikuja kizaazaa, et Anita akanijibu "ATA NKISHINDWA KUKULIPA, Afu NKAKUPA KITU KITAMU, SI UTANISAMEHE?
me Mpaka sasa sjajibu io txt maana kwanza sjajua iko kitu kitam ni kipi
Nani anaweze kunielekeza apo
[HASHTAG]#HiiKituNiReal[/HASHTAG]
Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu komoja wapo nchini,Ndo nimeingia mwaka wa tatu msimu huu
Sasa juzi tumeripoti chuoni tayari kwa muendelezo wa masomo 2017/18, Kwa kiasi fulani nimefurahi tena kurudi chuoni maana nimepata kuonana na marafiki wengi tulioachana baada ya likizo ndefu ya takriban miezi mi4
Sasa bhana juzi nlikutana na Anita mazingira flan around na chuo, tulipiga stor mbili tatu kisha tukaagana ila mda tukiachana Anita aliniita na kuniomba namba zangu za simu, bila shida me nkampatia.(Anita ni mwanafunzi mwenzangu mwaka wa 3,sisi ni marafiki tu)
Ikiwa imepita kam siku tatu tangu nimpe Anita namba zangu, sasa juzi amentafuta kwa njia ya SMS, bas tukasalimiana na kujuliana hali kwa njia hio ya kuchat,, ila katika uko kuchat chat Anita akaanza kuniambia ye ayupo vizur, kumuuliza kwa nin akasema tayari ameishiwa pesa za matumizi,,,, nikamuuliza kivipi huishiwe pesa wakati juzi tu umepokea Boom(Fedha kwa Makazi na malazi kwa wanafunzi) , et akasema amemtumia kaka yake nyumbani watanue biashara yao,, me nkaona stor nying ikabid nimuulz sasa nkusaidiaje, Anita akasema naomba nimkopeshe japo laki 1 af kaka yake akimrudishia na mimi atanirudishia ela yangu,, me nkaelewa ila nkamwambia ufanye anirudishie mapema pale akipata io fedha,, sasa apo ndo kilikuja kizaazaa, et Anita akanijibu "ATA NKISHINDWA KUKULIPA, Afu NKAKUPA KITU KITAMU, SI UTANISAMEHE?
me Mpaka sasa sjajibu io txt maana kwanza sjajua iko kitu kitam ni kipi
Nani anaweze kunielekeza apo
[HASHTAG]#HiiKituNiReal[/HASHTAG]