KFC yamponza mzungu!

KFC ni hiyo Kentucky Fried Chicken na kopo lake ni hilo hapo kabeba mzungu ila sijajua imemponza kivipi?
 
Afu mbona yupo na wamatumbi?? KFC ya wapi hii? Hii huenda imetengenezwa au ilikuwa kwenye mbilinge nyingine tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom