Guantanamoh
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,367
- 4,808
Habari wadau.
Hivi sasa ni saa 01:40 usiku wa manane sijalala naumia na kuumiza kichwa hivi hizi kesi za kulawiti kwanini zimekithiri?
Wanaume wamefikia hatua wanalawiti watoto wa miaka mitatu, wazee wasiojiweza na hata wagonjwa walio pooza. Wanalawiti wanawake kwa wanaume bila huruma!!
Jamii inawajua hawa walawiti na inawakingia kifua?
Je? Ni sheria zimelega sana ndo maana watu wanafanya wakijua sheria ina lacuna?
LHRC, mbona juhudi zenu zipo kwenye reaction za wananchi tu? Yani huwa mnasubiri msikie mwanaume mmoja alilawiti mtoto wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto au msikie walawiti wameanza kukatwa jinsia zao au hadi msikie wamepangwa mlimani wanafyatuliwa shaba kichwani ndo huwa mnaibuka na kukemea wanachokua wamefanyiwa.
Inaumiza sana na haya matukio. Yani watoto ndo inauma sana. Kila siku unasikia jipya,
Je nguvu ni ile kauli ya kwamba “mwanaume ndo alivyoumbwa hawezi kujicontrol hisia? “ kwahiyo ndo ulawiti mtoto?
Sheria gani kali iundwe ili iwe fundisho la mfano. Mnaharibu kizazi chetu.
Hivi sasa ni saa 01:40 usiku wa manane sijalala naumia na kuumiza kichwa hivi hizi kesi za kulawiti kwanini zimekithiri?
Wanaume wamefikia hatua wanalawiti watoto wa miaka mitatu, wazee wasiojiweza na hata wagonjwa walio pooza. Wanalawiti wanawake kwa wanaume bila huruma!!
Jamii inawajua hawa walawiti na inawakingia kifua?
Je? Ni sheria zimelega sana ndo maana watu wanafanya wakijua sheria ina lacuna?
LHRC, mbona juhudi zenu zipo kwenye reaction za wananchi tu? Yani huwa mnasubiri msikie mwanaume mmoja alilawiti mtoto wananchi wenye hasira kali wamemchoma moto au msikie walawiti wameanza kukatwa jinsia zao au hadi msikie wamepangwa mlimani wanafyatuliwa shaba kichwani ndo huwa mnaibuka na kukemea wanachokua wamefanyiwa.
Inaumiza sana na haya matukio. Yani watoto ndo inauma sana. Kila siku unasikia jipya,
Je nguvu ni ile kauli ya kwamba “mwanaume ndo alivyoumbwa hawezi kujicontrol hisia? “ kwahiyo ndo ulawiti mtoto?
Sheria gani kali iundwe ili iwe fundisho la mfano. Mnaharibu kizazi chetu.