BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,041
Huyu jamaa wakimleta Bongo si watam-Balali haraka haraka?
Utatu wewe una mawazo kama mimi, huyu wanaweza kabisa 'kumbalali' huko huko UK kabla hata hajakanyaga Bongo. Na hapo ndipo itakuwa mwisho wa kesi ya rada.