Unaumwa sana wewe kwan jk, igp, jaji mkuu, makamu wa rais, na mawaziri wengine sio waislamu? Na kwa maana hii unataka 2015 angombee muislamu na huo hautakuwa mfumo uislamu?
Mnajidanganya sana ndo maana nasikia hata ktk chuo kikuu kimoja hapa nchini non christians mliendesha kongamano la pasaka wakati ktk historia ya imani yenu hamna pasaka na kuwaeleza wanaosoma hapo kuwa chuo hicho kimeanzishwa kuinua non christians kwa ajili yakuwainua wao nakuwa ud inamilikiwa na christians. Mmeleta mgogoro sana ktk huu mtazamo wenu
Mnajidanganya sana ndo maana nasikia hata ktk chuo kikuu kimoja hapa nchini non christians mliendesha kongamano la pasaka wakati ktk historia ya imani yenu hamna pasaka na kuwaeleza wanaosoma hapo kuwa chuo hicho kimeanzishwa kuinua non christians kwa ajili yakuwainua wao nakuwa ud inamilikiwa na christians. Mmeleta mgogoro sana ktk huu mtazamo wenu