TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Naona jamaa ana hamu na ban!!!abusive language huwa zinakuwa encrypted kwa ****
Naona jamaa ana hamu na ban!!!abusive language huwa zinakuwa encrypted kwa ****
Wamefunzwa nini?au ule udini?na wewe unaonekana umeiva kweli kweli kwenye hayo mafunzo!!mpenzi wa chadema , mwanaccm hawezi kutukana kama vile. Wamefunzwa
Duhu. Hii kali sana. Nawaomba chadema wajipange sana kwa hili. Ms yupo pamoja nae
Kwa hiyo hivi sasa ni wenu ndiyo maana mnataka nchi iwe ya kiislamu?hahahhahhaaa. 2015 si mwaka wenu? Au hujui?
Umesharudi toka kwa Basha wako Dubai?!
moderator please work on this,I think this is abusive language!!
Mkuu usiishi humu JF kwa minyororo ya kuogopa ban,..... kwani hujui sisi tuko na ID mingi? Marelia Sugu vilevile anajulikana kwa ID nyingine kama Kupeng'e, upo hapo?Naona jamaa ana hamu na ban!!!
dUHU. LEO MEMBE AMEWAPAKA MATOPE SANA WALIOTUIBIA PESA ZETU HASA KUHUSU KWANINI PESA ZA WALIPA KODI ZILIZOIBWA NA UENGEREZA KUHUSU RADA. LKN PIA KUTUPANGIA HIZO PESA NANI WA KUMKABIDHI .
AMEWATAKA WANANCH WASIMAME IMARA KUDAI HAKI ZAO KUTOKA UENGEREZA
LKN TAYARI MH ZITTO AMETAKA HOJA HIYO IJADILIWE BUNGENI NA KUKUBALIWA NA SPIKA
HIII SI KUMTEGA EL, CHENGE NA RA?
LKN PIA
Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa, ameitaka kampuni ya B.A.E system ya uingereza ilete bakaa yetu ya Rada moja kwa moja serikalini na siyo kuzielekeza kwenye NGO'S.
Mhe. Zitto Z Kabwe ameomba kauli hiyo ijadiliwe bungeni na Mama yetu Makinda kakubali na itapangiwa muda muafakaaa..
- Amedai kufanya hivyo ni kuidharirisha Serikali ya Tanzania.
- Kuruhusu B.A.E system kuamua juu ya salio hilo ni kuruhusu WIZI mwingine.
- Wameagizwa Job Ndugai, Mussa Zungu, Angela Kairuki na John Cheyo wawaambie bae system kuwa watanzania wanataka bingo zao na hawana utani.
- Walichokubaliana na serikali ya Uingereza ni kuwa mapene hayo yatanunua:- vitabu 4000 kwa ajili ya wanafunzi wa s/msingi, vitabu 192,000 vya kufundishia kwa ajili ya walimu s/msingi, madawati 200,000-s/msingi, nyumba 1,196 za walimu vijijini-s/msingi na vyoo 200,000-s/msingi. Na kama bae system hawatasikia kauli yetu bora pesa hizo ZIPOTEE. Kudadadekiiii.
My take:- Sijui kutatokea nini jamani, nawasilisha.
Hili ni la Membe au Mkulo? Membe angetoa tamko kuhusu Libya. Tunamuunga mkono Gadaffi au NATO na waasi?
Mkuu achana na mambo ya udini. Yote tisa Kumi ni Avator yako inaniacha hoi kweli kweli. Sasa hilo likitu lililochomoza hapo mbele ndio nini?Kwa hiyo hivi sasa ni wenu ndiyo maana mnataka nchi iwe ya kiislamu?
Membe alifoji jina ili akasome shule za mission. ni muislam pure.