Akishatiwa mbaroni, mashtaka mengine yako mbeleni.. tunataka abambwe kwanza... ni lazima tuhakikishe kuwa hawezi kuunda Kikosi cha Kisasi, au kula Njama kuharibu uchunguzi. Kwa jinsi mambo yalivyo inaonekana huyu ndiye Malaika wa Shetani ambaye kwa hakika tuhuma anazokabiliwa nazo ni sawa na Salamu toka Kuzimu.
Yeyote ambaye anamfahamu au anafahamu alipo ahakikishe kuwa anampatia ujumbe toka serikali ya Tanzania ujumbe ambao ni sawa na Simu ya Kifo. Sina uhakika kama ana ulinzi wowote kiasi cha kuweza kuonekana ni Maskini Jeuri kwani jinsi anavyofahamika hapendi kuonekana mchana, mara nyingi utamkuta Dar-es-Salaam Usiku.
Kwa yeyote anayemtafuta lazima ahakikishe yeye mwenyewe anayo Hawala ya Fedha kwani endapo atahitaji tiketi aweze kurudi naye salama ama sivyo itakuwa ni Roho Mkononi. Huyu bwana kutokana na shughuli zake amekuwa kama kile kisa cha Ngoswe - Penzi kitovu cha Uzembe na watu kumuamini walifanya makosa.
Jitihada za kumtafuta zitakuwa ni kama Usiku wa Balaa ambapo hakuna kinachotabirika kwani hadi mwisho ni lazima wale wanaomtafuta wajiulize "Tutarudi na Roho Zetu?". Makosa kidogo tu yatakuwa yanawafanya wamtafutao wapotee kama yule bwana aliyepotea katika Mzimu wa Watu wa Kale. Ni lazima tuunganishe nguvu zetu na kudhamiria kama Kuli vinginevyo itakuwa ni kama mtu Aliyeonja Pepo au kama mambo ya nchi ya Kusadikika.
Nina uhakika huyu bwana atajaribu kutoa kitu kidogo ili asikamatwe lazima watu wamuambie "Pesa Zako Zinanuka". Hata hivyo isidhaniwe kuwa kwa kuwekwa mbaroni huyu bwana atakuwa amefikia Kikomo, kwani inasadikiwa anayo Roho ya Paka. Hata hivyo tusikubali geresha hizo na tufanye jitihada zetu za kumtia mbaroni ziwe ni za Kufa na Kupona.
Kwa hakika ndugu zangu kukamatwa kwa Vithlani na hatimaye kufikishwa Mahakamani na hatimaye kukutwa na hatia itakuwa ni jitihada zinazostahili Zawadi ya Ushindi! Wanausalama wetu watumie njia zote kumtia mbaroni kwa amani, lakini Akibisha, Mlipue!
plosi wa tanzania wamekuwa hivyo muda mrefu,unadhani hawajui alipo...?wahindi wamekuwa marafiki wa wakubwa muda mrefu..
..mwafrika,hizi siasa kali tena zenye hasira kali umezianza lini?
..taratibu,haya mambo yako mengi,halafu inaonekana hayaishi kila kukicha,yatakutia kichaa buree!punguza kidogo hasira!
..hiki kilio chetu sote!ingawa wengine wanacheka,ilihali hawajui kuwa wanalia!
Mkuu Dar si LAMU,
Haya mambo mbona yalishanitia ukichaa muda mrefu sana! Thanks GOD niko marekani na ikifika weekend kama hii kunakuwa na alot of activities kusafisha akili kidogo la sivyo ningekuwa nimerudi bongo na kujiunga na jeshi muda mrefu sana!
Nilikuahidi last time kuwa ninapunguza hasira zangu na kwa kweli nimekuwa kwenye therapy ya muda mrefu sasa toka kwa madaktari bingwa wa JF - Nyani Ngabu na SteveD - ambao wana secret drug inayofanya kazi within seconds. π π Usijali sana nina dozi yakutosha so hakuna watoto au wanyama watakaodhurika hapa.
Hii case ya this guy inachafua moyo na kwa kweli kwa maoni yangu inabidi this guy apigwe mishale kama sita yenye sumu kali sana na afe maramoja. Wakati mwingine, watu kama hawa wanahitaji kuuwawa tu maana mahakama na polisi haziwawezi.
nimefuatilia kwa muda sasa historia ya Mafia hapa US na nimegundua kuwa nguvu ya mafia ilipunguzwa sana walipoanza kuuwawa hadharani na sio kupelekwa polisi au magereza. The same thing can happen to mafia hawa wa kibongo na wapambe wao.
haya ni maoni yangu tu!
Wait A Minute, Mbona Haijatangazwa Zawadi Nono Itatolewa , Waseme How Much, Fasta Sana Wanaume Waache Vibarua Waingie Mzigoni Kumsaka ...toa Pesa Upate Pesa,nothing For Free!!!!!!!!
Mkomboziufisadi, naomba usilete mambo yatakayo onekana ya kibaguzi katika hili swala. Wahindi ni watu kama Waafrika tu au asilia nyingine yoyote, na kama wako Tanzania na ni raia wana uhuru wa kuwa marafiki na yeyote yule aliyekaribu nao. Matendo yao ndiyo ya kuhoji. Basi ,tumtafute huyu mtuhumiwa kwa makosa yake na wala si Uhindi wake.
SteveD.
Kwi kwi kwi,
hilo libaba halihitaji kunyongwa bali linahitaji kupigwa kwa mishale ya sumu ya kimasai (ile ambayo hutumika kuua simba) ili lisipate nafasi ya kutibiwa hospitali.
Nilijua siku nyingi kuwa unatafuta kuniona na sasa umepata nafasi hiyo. Tuwasiliane kwenye PM maana krismas naenda bongo na labda nitapunguza siku za kukaa Amsterdam (kuvuta bangi kihalali) na kupitia UK ili "tusaini MOU memorandum of understanding" kati yangu na wewe.
hauwezi kuzungumzia ubaguzi kama wewe sio mbaguzi,mie nimeelezea ukweli na wala sijasena mambo ya ubaguzi..
vp steve D,umetumwa.
mie nipo hapa nitabandika hapa hotelini hii picha ya huyu fedhuli
Akishatiwa mbaroni, mashtaka mengine yako mbeleni.. tunataka abambwe kwanza... ni lazima tuhakikishe kuwa hawezi kuunda Kikosi cha Kisasi, au kula Njama kuharibu uchunguzi. Kwa jinsi mambo yalivyo inaonekana huyu ndiye Malaika wa Shetani ambaye kwa hakika tuhuma anazokabiliwa nazo ni sawa na Salamu toka Kuzimu.
Yeyote ambaye anamfahamu au anafahamu alipo ahakikishe kuwa anampatia ujumbe toka serikali ya Tanzania ujumbe ambao ni sawa na Simu ya Kifo. Sina uhakika kama ana ulinzi wowote kiasi cha kuweza kuonekana ni Maskini Jeuri kwani jinsi anavyofahamika hapendi kuonekana mchana, mara nyingi utamkuta Dar-es-Salaam Usiku.
Kwa yeyote anayemtafuta lazima ahakikishe yeye mwenyewe anayo Hawala ya Fedha kwani endapo atahitaji tiketi aweze kurudi naye salama ama sivyo itakuwa ni Roho Mkononi. Huyu bwana kutokana na shughuli zake amekuwa kama kile kisa cha Ngoswe - Penzi kitovu cha Uzembe na watu kumuamini walifanya makosa.
Jitihada za kumtafuta zitakuwa ni kama Usiku wa Balaa ambapo hakuna kinachotabirika kwani hadi mwisho ni lazima wale wanaomtafuta wajiulize "Tutarudi na Roho Zetu?". Makosa kidogo tu yatakuwa yanawafanya wamtafutao wapotee kama yule bwana aliyepotea katika Mzimu wa Watu wa Kale. Ni lazima tuunganishe nguvu zetu na kudhamiria kama Kuli vinginevyo itakuwa ni kama mtu Aliyeonja Pepo au kama mambo ya nchi ya Kusadikika.
Nina uhakika huyu bwana atajaribu kutoa kitu kidogo ili asikamatwe lazima watu wamuambie "Pesa Zako Zinanuka". Hata hivyo isidhaniwe kuwa kwa kuwekwa mbaroni huyu bwana atakuwa amefikia Kikomo, kwani inasadikiwa anayo Roho ya Paka. Hata hivyo tusikubali geresha hizo na tufanye jitihada zetu za kumtia mbaroni ziwe ni za Kufa na Kupona.
Kwa hakika ndugu zangu kukamatwa kwa Vithlani na hatimaye kufikishwa Mahakamani na hatimaye kukutwa na hatia itakuwa ni jitihada zinazostahili Zawadi ya Ushindi! Wanausalama wetu watumie njia zote kumtia mbaroni kwa amani, lakini Akibisha, Mlipue!
π wewe Mtanzania achana na anga za watu... utazua bifu buree.....!!! Kumbuka Nyani nimeshamtungua mtini kutokana na antics zake katika hili........he he he
SteveD.
yeah utani leo unaruhusiwa ila mtu akija kubondwa na rungu la mtu wa bush asije kulia "lele mama". Mali nyingine ni za kuangalia tu.. zina wenyewe...
yeah utani leo unaruhusiwa ila mtu akija kubondwa na rungu la mtu wa bush asije kulia "lele mama". Mali nyingine ni za kuangalia tu.. zina wenyewe...
SteveD,
Nimegundua siri ya Mwafrika wa Kike, ukitaka kumchokoza basi fanya hivyo Ijumaa na Jumamosi, huwa mtulivu kama Simba aliyeshiba. Labda anakuwa tayari amesha yavuta majani yake kwa maandalizi ya kujirusha weekend.
Si umeona hata alivyojibu? Nilikuwa najaribu ku test hypothesis
yangu, naona inafanya kazi vizuri.
----!π π π!----