ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,747
Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.