Kesi ya mwizi wa mafuta Kigamboni imefikia wapi?

Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku

Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Mwizi wa mafuta ndio huyo huyo anamiliki mahakama zote nchini, usitegemee kesi yoyote hapo.
 
Mwenye pesa ana kesi Tanzania?
Majaji wenyewe ukitoa nondo kidogo tu anaahirisha kesi akachimbe pgo na kusikiliza ushauri wa polisi aliyeletta kesi.
 
Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku.

Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Kesi yao ipo mahakama ya kisutu,
 
Na ripoti ya kuungua kwa soko la kkoo veeepee.

Kuna mtu alining'ata sikio kwamba lilikuwa ni agizo kumbe kutoka kwa chief hangaya mwenyewe😊.

NCHI ILOFITINIKA.
 
Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku.

Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
wewe ni mgeni na Tanzania? Angekuwa Mpinzani ndio KAIBA Mafuta ingetangaza Nchi nzima
 
Mwenye pesa ana kesi Tanzania?
Majaji wenyewe ukitoa nondo kidogo tu anaahirisha kesi akachimbe pgo na kusikiliza ushauri wa polisi aliyeletta kesi.
Kuna kesi moja nilimshimtaki Mjenzi kwenye Mahakama ya mwanzo, Mjenzi akaitwa Mahakamani,kufika tu Mahakamani kumbe Hakimu alikua na shida ya kokoto Kama Lori tano hivi, Basi hapo hapo kesi yangu ikasahaulika watu wakaanza kuongea biashara ya kokoto! Nikapigwa tarehe mpaka Leo napigwa danadana! Maisha haya kiboko!!
 
RCO atakwambia yeye kamaliza kazi yake na file liko kwa DDP, na DPP ndiyo mwenye maamuzi ya kupeleka kesi Mahakamani au kuaamua kulikalia Jalada bila kulitolea maamuzi yoyote yale! Na hakuna wa kumuhoji DPP kwa maamuzi yake!!
Daah! Kama mambo ndo yako hivi, basi #KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA.
 
Back
Top Bottom