Sorry James delicious mi Nina mke sidili na machokoManka ni mtoto wa kike...
Sasa jibu swali umefanikiwa kuacha ushoga au bado wewe ni shoga?
Sorry James delicious mi Nina mke sidili na machokoManka ni mtoto wa kike...
Sasa jibu swali umefanikiwa kuacha ushoga au bado wewe ni shoga?
Sio kweli,HAO wakamataji NI genge la kihuniNimegundua ugaidi ni jambo baya
mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama anawatumia mapolisi atakavyoKupitia kesi hii imedhihirika kuwa CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Bz Polisi wanadeal na raia moja kwa moja kwenye maisha ya kila siku.Ndo' maana unawaona wakuu!Nilijua JWTZ ni kubwa la mapolisi kumbe sijui tena...
Nikazane kula carrots au macho yangu ni mazimaHasa ule ugaidi uliofanyiwa kwenye kijambio?
Vipi umeshazoea?
Yes, hasa huu ugaidi wa laki sita.Nimegundua ugaidi ni jambo baya
1. Kaingai , Mahita,Godluck ,Azizi ni watariNaanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Sasa nimeelewa vizuri kwanini Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Simbachawene alisema "Jeshi la Polisi linaajiri waliofeli shuleni, halitaki waliofaulu vizuri!"Naanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Mwenzake Hamza sijui alitumia shilingi ngapi kufanya ule ugaidiYes, hasa huu ugaidi wa laki sita.
Jambo kubwa ni kujulikana kwa wauaji , watekaji na wasiojulikanaNaanza uzi huu kufuatia maelezo ya wale waliofuatia kesi hii kwa karibu kwamba wamejifunza/gundua mengi ambayo hawakuwa hapo mwanzo wanayajua. Sasa ili kuwadirikisha wale wasioifuatia, au waliokuwa na gap ya kufuatia, tupe uliloligundua kwa sharti ueleze shahidi nani alilisema, hoji hilo. Hii ni ili kusiwe na fake news!
1- Nimegundua kuwa baadhi ya askari wanawabambikia kesi raia wema- ushahidi wa xxx
2-
3- n.k.
Naapa kwamba hili jeshi hili , iko siku tutalivunja na baadhi yao tutawakamataPolisi ni wakatili na wauwaji wakubwa..
Nimewagundua kingai, mahita jumanne na gudluck wana roho mbaya kuliko hata shetwain bin ibilis! Pia kwenye utoaji roho ni zaid hata ya zirail! Pia nimegundua media zetu ni za kishamba sana hasa zinazojiita za kichunguz! Zipo mstar wa mbele kuchunguza njaa na umbea wa kina nape ,zito nk lakin kuna binadam mmoja moses lijenje amepotezwa na kina kingai na wala hazitafuti habar zake even kwenda kuhoji familia yake kujua tu huyu mtu yupo wapi na tips za huyu mtu kuwa ametendwa zimetajwa na wenzie mahakamani. Nimegundua pia sisi pia humu ni maboya kwan tumebaki kulaan tu na kusikitika tumeshindwa hata kuanzisha hashtag ya #kingaibringbackourlcomandoijenjeNimegundua kuwa polisi siyo watu wazuri kwa raia.