Kuelekea hukumu ya shauri dogo linalomhusu Ling'wenya 14 Dec ukimya unaendelea kuvunjwa:
1. Kumbe mama Samia naye yamewahi kumfika ya kubambikiwa kesi na hata kutendewa ndivyo sivyo za wazi mikononi mwa polisi wetu.
2. Mheshimiwa Mbatia yeye hakuwa na Simile:
Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Mbatia kwa Rais Samia
3. Mama Helen Kijo-Bisimba mkurugenzi mstaafu LHRC naye hakubakia nyuma:
Orodha ni ndefu ndani na nje ya nchi.
Tuendelee kupaza sauti haki inapoonekana kuporwa.
Hayo ndiyo majumba mabovu yenyewe.
1. Kumbe mama Samia naye yamewahi kumfika ya kubambikiwa kesi na hata kutendewa ndivyo sivyo za wazi mikononi mwa polisi wetu.
2. Mheshimiwa Mbatia yeye hakuwa na Simile:
Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Mbatia kwa Rais Samia
3. Mama Helen Kijo-Bisimba mkurugenzi mstaafu LHRC naye hakubakia nyuma:
Orodha ni ndefu ndani na nje ya nchi.
Tuendelee kupaza sauti haki inapoonekana kuporwa.
Hayo ndiyo majumba mabovu yenyewe.