mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Una laana wewe si bure! Madaktari waliomtibu waliweka wazi ugonjwa uliomwua!!Ila magufuli alikua na misimamo ya kijima. Weka msimamo dhidhi ya ugonjwa hatari kama covidi hadi ikaondoka naye.