Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
- Thread starter
- #141
Afadhali umekubalikuwa unaugomvi nae...Je Lema ni wa kwanza -Mwisho kumnadi mgombea wa cha tofauti na cha kwake....? lema alisha jibu swali hili kwenye mkuta uliofanyika mbaunda soko alisema kuwa chama chake walisimamisha mtu hata darasa la kwanza sijui kama alikuwa akajaribu kuwa shauri wakakataa ndipo alipo amua kumkapenia Mawazo nalenda mbalizaidi kwa kuomba mamaha kama aliwakosea pia siku hiyo alijibu swali lako la kuwa 2005 aliuza ubunge kwa mil 30....baada ya kujibu hukuonekana hapa jukwaani, ukahamia kwenye elimu likaja likajibiwa...[1] Kifupi sana ugomvi wangu na Lema ulianza pale alipomnadi diwani wa CCM kata ya Sombetini Bwana Mawazo.Bwana Mawazo alikuwa diwani wa TLP akshiriki kumchomoa kipindi hicho Lema alikuwa mwenyekiti wa umoja wa vyama vya upinzani Arusha..
kama bado unaamni amedanganya yaani na vyeti fake kwanini msifungue kesi kama mlivyofanya ya kumkashifu Batilda