Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
PakaJimmy.
Bahati mbaya wanaotumika hutaki tuwasema au kwakuwa wamevaa magwanda ?.au kwakuwa wanasema people powersssssssssss.Kama umbo dogo la Nanyaro ni kinga ya makosa ya jinai hakika wale wasambaa wa kule Mtae,Soni na wachina wa kariako wangekuwa na defence nzuri mahakamani.PakaJimmy una mambo karibu mnyama wa taifa J2 Apache.
Bahati mbaya wanaotumika hutaki tuwasema au kwakuwa wamevaa magwanda ?.au kwakuwa wanasema people powersssssssssss.Kama umbo dogo la Nanyaro ni kinga ya makosa ya jinai hakika wale wasambaa wa kule Mtae,Soni na wachina wa kariako wangekuwa na defence nzuri mahakamani.PakaJimmy una mambo karibu mnyama wa taifa J2 Apache.
Na tuiache Historia iwe Historia!
Kila zama zina kitabu chake, na hasira zako za Diwani Mawazo kuondolewa TLP unaziendeleza hadi leo, wakati unajua kulikuwa na conflict za ndani kwa ndani kwenye TLP yako!...Kwa akili zako unadhani Mawazo yeye hana akili hadi arubuniwe na Lema?
Ngongo huna jipya unaloweza kusema juu ya mwanacdm yeyote!...Ishu mbofumbofu kama za Nanyaro kutaka kumuua Meya, hata mtoto wa Baby-Class atajua kuwa ni za kusukwa ili kumharibia!
Hivi unajua namshangaa sana Meya kumwogopa mtu mwenye umbo dogo kama la Nanyaro, hadi akaamua kukimbilia polisi , kisa anaona support ya Nanyaro inamtishia, na anahofia msimamo wa Nanyaro kuwa unaiweka nafasi yake ya kiutawalamashakani!
Ngongo ubabaishaji wa nini, najua unatumika mkuu, lakini hata saa mbovu huwa inasema ukweli mara 2 kwa siku!