Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

Crashwise unaishi dunia ipi tatizo la umeme lipo hakuna mtanzania asiyelijua unaposema kwa kisingizio hakuna umeme hakika ndiyo ule ushabiki niliokukataza mwanzoniiiiiiiii.
Acha ujinga ***** wewe, hivi unaweza kushindwa kutoa copy hapa Arusha kwa kisingizio hakuna umeme.....
 
Crashwise ebu soma bandiko lako taratibu halafu tueleze kama huu si ushabiki.
Madai ya washitaki ni kuwa Batrilda amezaa nje ya ndoa sasa kama wanataka kuthibitisha nini kinatakiwa kutumika kama siyo kumpeleka mtoto akapimwe DNA pamaja na Lowasa na yule msomali..
 
Hii maneno nilimwambia Crashwise tarehe 06/09/2011.



Akili yako ndogo ndiyo maana kazi ya uratibu wa mbunge imekushinda.Umeshindwa kuelewa Jaji kakubali hoja za wakili wa upande wa mashtaka !Najua hauko tayari kuwaambiwa mashabiki wasichopenda kusikia.Ngoja nikufafanulie kidogo Dr Batilda akitinga mahakamani na akawa tayari kupima vipimo vya DNA na ikithibitika kwamba Lema alikuwa akimzushia uongo [Defamation] unadhani nini kitafuata !.Crashwise sidhani kama kuna mtu mwenye akili nzuri atapinga mageuzi ninachokataa ni kuburuzwa na wajinga.

Niko mbali lakini tayari nimebaini mambo si mazuri kwa Lema bwahaa haaa.Umejitahidi kuficha lakini wenye akili zetu tumeguindua nini kimejiri leo huko Arusha.
 
Madai ya washitaki ni kuwa Batrilda amezaa nje ya ndoa sasa kama wanataka kuthibitisha nini kinatakiwa kutumika kama siyo kumpeleka mtoto akapimwe DNA pamaja na Lowasa na yule msomali..

Haipendezi JF kuwa forum ya kujadili non issues kama masuala ya watu ambayo hayana ukweli ndani yake tujadilia issues.
 
Nimemuona muheshimiwa Lema alipotoka mahakamani amepita mbele ya ofisi yangu mitaa ya India Street kwenye gari ni mtu aliyekua anaonekana na msongo wa mawazo sana! Tusubiri hiyo tarehe 17 mwezi ujao.
 
Wakili wa Godbless Lema anataka judge Mujulizi ajitoe na upande mawakili wa CCM hawataki ajitoe....
 
nyumba ndogo ya lowasa..

hizi kesi za zinazo funguliwa baada ya chaguzi mbalimbali kuisha
,zinatupa mashaka kuwa wanao husika na kusimamia chaguzi
na wanotaka madaraka kwa lengo la kujitajirisha na kuifaidisha familia zao kwa kodi za wana nchi,na ndomaana
unaona kwenye kampeni wanatoa posho ndogo na kubwakubwa,kwa watanzania wajinga walioamua na wachache
kuwasaliti watanzania walio wengi.hivyo nawatia moyo watumishi wa mahakama yetu tukufu tuna imani nao hawatafuata
hao wenye nia bifsi.wa wazidi kuhukumu kwa haki bila kujali huyu ni wachama gani, kwa faida ya watanzania.
 
hizi kesi za zinazo funguliwa baada ya chaguzi mbalimbali kuisha
,zinatupa mashaka kuwa wanao husika na kusimamia chaguzi
na wanotaka madaraka kwa lengo la kujitajirisha na kuifaidisha familia zao kwa kodi za wana nchi,na ndomaana
unaona kwenye kampeni wanatoa posho ndogo na kubwakubwa,kwa watanzania wajinga walioamua na wachache
kuwasaliti watanzania walio wengi.hivyo nawatia moyo watumishi wa mahakama yetu tukufu tuna imani nao hawatafuata
hao wenye nia bifsi.wa wazidi kuhukumu kwa haki bila kujali huyu ni wachama gani, kwa faida ya watanzania
.
Hakika hiki ni kilio cha watanzania walio wengi siku mahakama zitakapokuwa huru basi tutakuwa tumepiga hatu mbele...
 
Hata mimi naunga mkono Mujulizi ajitoe anaconflict of interest
Kwanza nashangaa kwanini hakujitoa mpaka awakili wa Lema alipoweka pingamizi hilo waka swala la yeye kuwana uhusiana na washitaki liko wazi kabisa....
 
Na Queen Lema, Arusha

KESI ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi Mbunge wa Arusha Mjini, Bw. Godbless Lema, imeanza kusikilizwa jana.

Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo upande wa mlalamikaji, Bw. Musa Mkangaa, aliieleza Mahakama jinsi Bw. Lema alivyotumia maneno kumdharirisha aliyekuwa mgombea wa nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Batilda Buriani.

Kesi hiyo namba 13 ya mwaka 2010, inasikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha na Jaji Mfawidhi, Gabriel Rwakibarila, kutoka Mahakama ya Sumbawanga.

Bw. Mkangaa alidai kuwa yeye binafsi alifanikiwa kutembelea sehemu nne za mikutano ya kampeni ya Bw. Lema, ambapo mbali na kutoa ahadi, mbunge huyo alimkashifu Dkt. Buriani.

Alidai kuwa Agosti 312010, katika eneo la Kwa Muorombo, Kata ya Terrat, Bw. Lema aliwaeleza wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni kuwa wanaume katika makabila ya Wachaga na Waarusha, hawawezi kutawaliwa na mwanamke.

Alisema kauli hiyo kwa mujibu wa sheria ni kinyume cha taratibu na kudai kuwa, mbali ya kuwakataza wananchi kutompa kura Bi. Buriani pia aliwataka kujiadhari na watu wanaovaa vitambaa katika vichwa vyao, kwani huenda ni miongoni mwa makundi ya kigaidi.

“Mimi nilimsikia Bw. Lema akiwaambia wananchi wasimchague Dkt. Buriani kwa kuwa anavaa vitambaa na kufunika kichwa kila mara hivyo si kiongozi bora,” alisema.

Katika hatua nyingine, shahidi huyo alisema Septembe 18,2010, saa sita mchana katika eneo la Mbauda, Bw. Lema, akiwa na viongozi wa chama chake waliendelea kurudia maneno hayo.
 
Back
Top Bottom