Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

wakili ametaja maneno aliyoyasema lema ni kuwa batilda hakuwa mwaminifu kwenye ndoa yake kwani alikuwa na mimba ya nje ya ndoa yake na pia mme wake ni mzanzibar hivyo mda mwingi angeutumia kwa mmewe..haya ndiyo madai yao..
 
jaji anamkumbusha tena kuwa alitakiwa afungue malalamiko kwenye baraza...wakili anasema walalamikaji hawakuwa na haki hiyo lakini wana haki ya kufungua kesi mahakama kuu..
 
Hawa magamba wanakwenda kujiaibisha mbele ya kadamnasi. Walifikifi wanakwenda mahakama ya ccm. Bado kidogo tusikie na wao wanataka mahakama yao.
 
kesi itaendelea muda si mrefu...
Hivi wewe Crashwise! Kazi unafanya saa ngapi kila siku unashinda vijiweni pale maeneo ya Sakina, ukitoka hapo unakwenda vijiwe vingine vya Unga Limeted, ukisikia kesi za CDM unakimbila mahakamani kuripoti humu JF, tafuta kazi kijana maisha ya kama kwale sio mazuri.
Jaribu kuongea na Dr Slaa, upate kibarua hata cha utingo kwenye zile Fuso za CDM, msingi wa maisha ni kufanya kazi kwa bidii tu hakuna ujanja ujanja
 
..kiukwe wakili wa ccm amekabwa..ngoja tuendelee kufatilia
Anachofanya wakili wa CCM ni kuhakikisha anapoteza kesi ili akate rufaa, chenji ziendelee kutembea.
Kwani hajui kuwa hiyo kesi si kesi?
 
jaji anamkumbusha tena kuwa alitakiwa afungue malalamiko kwenye baraza...wakili anasema walalamikaji hawakuwa na haki hiyo lakini wana haki ya kufungua kesi mahakama kuu..
Mtu kama huna kazi za kufanya unakuwa kama chizi angalia huyu jamaa anaripoti kesi kutoka mahakamani kama anatangaza mpira, teh teh teh
 
Unga Limeted.....................,
kuongea na Dr Slaa, upate kibarua hata cha utingo kwenye zile Fuso za CDM
,
Unakopi- pesti tekniki ya maisha yako ya kujipendekeza kwa mafisadi na mitoto yao kwa watanzania wengine?
What works best for you, only does so only for you and your dependent family.
 
Heshima Crashwise.

Hivi wewe ni Mtanzania kweli ?.Unaposema kifungu na 11 cha sheria za uchaguzi inamapungufu una maana gani ?.

Bahati mbaya niko nje ya mkoa lakini niko well represented.
Ninavyokuona kwa macho ya computer Ngongo una matatizo binafsi majibu yako mara nyingi huwa ya kishari zaidi, wivu kwa Lema usio na mashiko. Ukiendelea na hiyo roho hautakuwa na amani maishani mwako pindi unapotegemea adui yako ashindwe instead anaendelea kushamiri.
 
kesi itaendelea saa nane..kuwasikiliza upande wa washitakiwa..
 
Mtu kama huna kazi za kufanya unakuwa kama chizi angalia huyu jamaa anaripoti kesi kutoka mahakamani kama anatangaza mpira, teh teh teh
Kizuri ni kuwa we ni mfuatiliaji mzuri sana wa kesi hii thanks to Crashwise.
Kuna majukwaa mengi hapa JF lakini umeng'ang'ania hii thread moja tu ya Crashwise.
Unafiki.
 
Kwa hiyo ni mapumziko dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeisha, nani kazidiwa?

Ushauri, kama hufurahishwi au huna cha kuchangia kwenye posti hamna sababu ya kuandika,kuwa tu msomaji au achana na hiyo posti, mimi naona kama unapoteza muda wako bure na kujichosha na keyboard.
 
Kwa hiyo ni mapumziko dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeisha, nani kazidiwa?
Acha upuuzi kama huna kazi kacheze bao kwenye vibaraza vya Lumumba usubiri posho.
 
Mwenye matatizo ni wewe unayeshabikia upuuuzi.Unadhani kila mtu kasuku ?.

Ninavyokuona kwa macho ya computer Ngongo una matatizo binafsi majibu yako mara nyingi huwa ya kishari zaidi, wivu kwa Lema usio na mashiko. Ukiendelea na hiyo roho hautakuwa na amani maishani mwako pindi unapotegemea adui yako ashindwe instead anaendelea kushamiri.
 
Acha upuuzi kama huna kazi kacheze bao kwenye vibaraza vya Lumumba usubiri posho.
Tafutaka kazi kijana hakuna maisha ya ujanja ujanja CDM haiwezi kukusomeshea watoto wako, CDM haiwezi kukulipia kodi ya nyumba ushauri wangu Serikali ya maisha yako ni kichwa chako kijana, angalia usije kuwa kama Tambwe Hizza
 
<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Kiswahili yako mbofu mbofu kama jirani zetu.</b></span></font>
vipi huko mikoani sukari bei gani?
 
wakili wa ccm anasema kunakipengele hakijui baada ya kuambiwa afafnue kipengele alichokuwa anajaribu kukijengea hoja ni juu ya kupinga kuitwa kesi hii ni ya binafsi..
<br />
<br />
Mkuu! Mkuu! Thnkx very much,tunakutegemea na tupo pamoja A to Z.
 
Back
Top Bottom