Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Tutaanza na bibi ushungiulevi wa madaraka kwa miaka 60 ndo unaitia kiburi ccm bt kwa yanayoendelea huu ulevi unaelekea kutia nanga na hapo ndo vigogo wa ccm watabaki kuhaha kukimbia nchi na wengine kuishia magerezani.