Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,541
TAKHIBIRRRRI !!
Kabisa mkuu hiyo ni kweliChadema hii sio ile ya kusimamisha nchi.
Gia ya angani ilishaharibu kila kitu.
Nchi gani isimame ? hakuna watu wapuuzi kama hawa.Nchi inasimama yanapotoka matokeo ya mitihani kidato cha nne na cha sita.Siyo kwa ajili ya wajinga wajinga kama hawa.Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko Nyerere
nchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
CHADEMA pigeni kazi,tunaotembea vijijini huko tunawasikia wananchi jinsi walivyo kichoka chama hiki kilichobeba watu waliokufa dhamiri zaoTarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Umetuletea taarifa lakini kichwa cha habari kimekaa "kikejeli kejeli".Ulikiandika wewew au mods ndio wamepachika?Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
huu utawala sio wa kutolea press relies baada vikao vya ndani bila kuingia barabaran ni kazi bure..mbowe anataka afanyiwe nn ili kuidhhirishia dunia kwamba ana mtaji wa watu? vyama viungane viingie barabarani tutaelewana vizur
Bila kumuondowa Mashinji huyo Mbowe na kamati kuu yake tutwapuuza tu na kuwaona mazwazwa tu.Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Amini nakuambia wafuasi wa CUF Maalim hawawezi kwenda CHADEMA hata wakihisi ACT imeasisiwa na CCM.Mku mimi ni ccm ila amini ninachokuambia ni kwamba Chadema hakita kufa bali kitazidi kuimarika zaidi.
Hivi kwa uelewa wako ww unavyoona hawa wanachama wa cuf ambao waelekee wapi na baada ya kujua wasisi wa ACT ni akina nani kwa mbinu ipo wataelekea wapi
Hata hii mizengwe unaona inayofanyika ili hawa wasikabidhiwe kadi ni mbinu pia ambayo itafaidisha vyama viwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Kila wakati hayo ndiyo maneno yako. Hakuna jipya maisha hayatasimama yataendelea km kawaida. Acha falisafa za kijingaTarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350