Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Sema Kilimanjaro itasimama siyo nchi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Mtakaa mtatoka na matusi hakuna ufanisi wowote hapo mwambie nasari habari take imekwisha jimbo linaondoka hana jipya kama anajiamini aende akatetee aone kama wananchi bado polojo zake kama zile aliwadanganya et visima kwa ya sabodo sijui zilishia wapi sasa akatete jimbo kama ujeuri anao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350


labda kishindo kikuu mtaa wa ufipa yaani watanzania zaidi ya milioni 50 wasimamishwe na wachumia tumbo wazee wa ufipa
 
Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula, pili hakuna ubaya wowote kwa my kuwa na great expectations, kuwa kesho nchi nchi itasimama, kwa Chadema ipi?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new kwa sababu kwa sasa Top Brass ya Uongozi wa juu wa Chadema, is a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity kuisimamisha nchi.

Kama 2015 mlishindwa, there is nothing big you can do now simply kwa sababu ....

https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/

Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia humu na nikikutana nao nawaambia face to face.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html

https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/

https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Hivyo there will be nothing more zaidi ya kutangaziwa ushirikiano wa Chadema na ACT.

P
Mkuu Pascal, nakushukuru kwa maoni haya.

Kwanza niende kwenye point kuu, Chadema kuungana na ACT,

Hilo ni jambo la kimchakato na chadema kama taasisi kubwa haiwezi kukurupuka ni lazima ikae chini kwakutumia wataalamu wake, itapokea ushauri na kisha maamuzi, kuungana ni dhana pana, lakini kubwa mnaungana na nani, ana nini, utafaidika nini na utapoteza nini... Hayo ni ya kitaalamu sio ya kulala na kuamka tu kisha useme tunaungana...hivyo ndoto hizo usiziote mkuu wangu
 
nchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
Wanahaha tu hawa
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
huu utawala sio wa kutolea press relies baada vikao vya ndani bila kuingia barabaran ni kazi bure..mbowe anataka afanyiwe nn ili kuidhhirishia dunia kwamba ana mtaji wa watu? vyama viungane viingie barabarani tutaelewana vizur
 
nchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
Saccos ! Mama yako ni mwanacha wa mikopo n.a. malejesho huko?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula, pili hakuna ubaya wowote kwa my kuwa na great expectations, kuwa kesho nchi nchi itasimama, kwa Chadema ipi?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new kwa sababu kwa sasa Top Brass ya Uongozi wa juu wa Chadema, is a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity kuisimamisha nchi.

Kama 2015 mlishindwa, there is nothing big you can do now simply kwa sababu ....

https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/

Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia humu na nikikutana nao nawaambia face to face.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html

https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/

https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Hivyo there will be nothing more zaidi ya kutangaziwa ushirikiano wa Chadema na ACT.

P
Unasomeka kuwa unaipenda hali yako ya UTUMWA.
 
huu utawala sio wa kutolea press relies baada vikao vya ndani bila kuingia barabaran ni kazi bure..mbowe anataka afanyiwe nn ili kuidhhirishia dunia kwamba ana mtaji wa watu? vyama viungane viingie barabarani tutaelewana vizur
Logic i support this
 
Back
Top Bottom