Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,144
- 162,541
Polisi watatumwa kufanya yao kutokana na woga wa bwana yule!
Sema Kilimanjaro itasimama siyo nchi??Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Mtakaa mtatoka na matusi hakuna ufanisi wowote hapo mwambie nasari habari take imekwisha jimbo linaondoka hana jipya kama anajiamini aende akatetee aone kama wananchi bado polojo zake kama zile aliwadanganya et visima kwa ya sabodo sijui zilishia wapi sasa akatete jimbo kama ujeuri anaoTarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Mkuu Pascal, nakushukuru kwa maoni haya.Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula, pili hakuna ubaya wowote kwa my kuwa na great expectations, kuwa kesho nchi nchi itasimama, kwa Chadema ipi?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new kwa sababu kwa sasa Top Brass ya Uongozi wa juu wa Chadema, is a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity kuisimamisha nchi.
Kama 2015 mlishindwa, there is nothing big you can do now simply kwa sababu ....
https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/
Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia humu na nikikutana nao nawaambia face to face.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html
https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/
https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/
Hivyo there will be nothing more zaidi ya kutangaziwa ushirikiano wa Chadema na ACT.
P
Wanahaha tu hawanchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
huu utawala sio wa kutolea press relies baada vikao vya ndani bila kuingia barabaran ni kazi bure..mbowe anataka afanyiwe nn ili kuidhhirishia dunia kwamba ana mtaji wa watu? vyama viungane viingie barabarani tutaelewana vizurTarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Saccos ! Mama yako ni mwanacha wa mikopo n.a. malejesho huko?.nchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
Unasomeka kuwa unaipenda hali yako ya UTUMWA.Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula, pili hakuna ubaya wowote kwa my kuwa na great expectations, kuwa kesho nchi nchi itasimama, kwa Chadema ipi?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new kwa sababu kwa sasa Top Brass ya Uongozi wa juu wa Chadema, is a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity kuisimamisha nchi.
Kama 2015 mlishindwa, there is nothing big you can do now simply kwa sababu ....
https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/
Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia humu na nikikutana nao nawaambia face to face.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html
https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/
https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/
Hivyo there will be nothing more zaidi ya kutangaziwa ushirikiano wa Chadema na ACT.
P
Logic i support thishuu utawala sio wa kutolea press relies baada vikao vya ndani bila kuingia barabaran ni kazi bure..mbowe anataka afanyiwe nn ili kuidhhirishia dunia kwamba ana mtaji wa watu? vyama viungane viingie barabarani tutaelewana vizur