Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,469
unakuwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani .unafungwa jela ukitoka unaishia kuandika makala? dunia itajuaje kwamba tanzania kua dictator uchwaraa?
Ana maana ya nchi ya mitandaoni walikoshinda uchaguzi wa 2015.
Tunangojea kwa hamu hayo matokeo ya hicho kikao.Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Watu wa SACCOS ya Kaskazini kwa kujidanganya wenyewe hamjambo,nchi isimame kwa lipi?haikusimama mlipobadiri gia angani,haikusimama Maalimu alipoenda kwa Zitto na kumuacha solemba Mbowe,nchi haijasimama bwana risasi 16 alipoenda BBC na kuzurura viwannja huko US,haikusimama Mwenyekiti wa kudumu wa SACCOS aliposwekwa ndani,halafu ije isimima leo kwa vikao vya kunywa kahawa.mnachekesha sana bana.Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Angalia Lugola asije sema amepata taarifa vijana wa ccm wamepanga kufanya vurugu hivyo kikao kimesitishwaTarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.
Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,
Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.
Na Yericko NyerereView attachment 1057350