Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Tunangojea kwa hamu hayo matokeo ya hicho kikao.

Yasije yakawa yale yale maneno makali ya dakika 15 ya kila siku, na baadaye yanakuwa kumbukumbu tuu za MOM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama wataazimia kumrudisha Nassari Arumeru Mashariki kwa mabavu.
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Watu wa SACCOS ya Kaskazini kwa kujidanganya wenyewe hamjambo,nchi isimame kwa lipi?haikusimama mlipobadiri gia angani,haikusimama Maalimu alipoenda kwa Zitto na kumuacha solemba Mbowe,nchi haijasimama bwana risasi 16 alipoenda BBC na kuzurura viwannja huko US,haikusimama Mwenyekiti wa kudumu wa SACCOS aliposwekwa ndani,halafu ije isimima leo kwa vikao vya kunywa kahawa.mnachekesha sana bana.
 
Wananchi hatutarajii kusikia malalamiko na matamko yasiyo kuwa na matendo.
Mutoke na suluhisho na si malalamiko.
 
Haha watu wa SACCOS ya Kaskazini chini ya mwenyekiti wao hawana lolote sasa wameanza kujikomba na kumbebembeleza mwenyekiti wa VICOBA cha Ujiji ili ajiunge nao wapate ruzuku kutoka kwa Waomani wa Pemba,sasa watamsahau Mbatia na kumuona Zitto na Maalimu lulu ,halafuYericko ndio analeta ujinga hapa eti nchi itasimama baada ya SACCOS kuipigia magoti VICOBA ya Ujiji.
 
😱😱😱 Nchii nayo ijua mimi, Kikao cha CC CDM ni sawa na kikao cha harusi tu, hakina madhara zaidi ya kujidili ndevu za Sultana Mbowe na Manywele karudi kwao very sad indeed!!!
 
😱😱😱 Nchii nayo ijua mimi, Kikao cha CC CDM ni sawa na kikao cha harusi tu, hakina madhara zaidi ya kujidili ndevu za Sultana Mbowe na Manywele karudi kwao very sad indeed!!!
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Angalia Lugola asije sema amepata taarifa vijana wa ccm wamepanga kufanya vurugu hivyo kikao kimesitishwa
 
Back
Top Bottom