Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula, pili hakuna ubaya wowote kwa my kuwa na great expectations, kuwa kesho nchi nchi itasimama, kwa Chadema ipi?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new kwa sababu kwa sasa Top Brass ya Uongozi wa juu wa Chadema, is a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity kuisimamisha nchi.
Kama 2015 mlishindwa, there is nothing big you can do now simply kwa sababu ....
https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/
Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia humu na nikikutana nao nawaambia face to face.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html
https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/
https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/
Hivyo there will be nothing more zaidi ya kutangaziwa ushirikiano wa Chadema na ACT.
Na kumfukuza Nassari
P