Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
- Thread starter
- #121
yaan lowasa anapendwa sana hapa kusini,,tatizo lipo moja kuhusiana na migogoro ya muda ya wagombea ubunge hususan mtwara mjini,masasi na mtama.Hivyo akiweza kusolve out kura zitakuwa za kwake ila la mcngi bila kujali wadhifa ya wagombea inatakiwa amsimamishe mgombea anayekubalika na watu wengi hususan kundambanda ktk jimbo la masasi na kumuacha mzee makaidi ambaye hana mvuto wa kisiasa kwa wana masasi kama mm
Mkuu jambo hilo ni jepesi kama kilo ya pamba kwa lowasa