Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?
Mkuu mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hujuona chama kinaomba kuchangiwa ITV kama kingekuwa na fedha kiasi hicho ndo wangeomba kuchangiwa?! Sema mnaogopa mafuriko ya kesho ndo mnaanza kujitekenya.
 
Mara kuna rafiki yako anakupa hizo habari mara pale chato nyumbani mara msukuma mbunge Geita mjini.Na ukasema Lowassa alijinyea stand Geita wakati aliondoka uwanjani kwa helkopter.Mbona kama choko flani wewe?Au unapigika paipu?

Asante sana mkuu,umelimaliza hilo choko.
 
Mkuu mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hujuona chama kinaomba kuchangiwa ITV kama kingekuwa na fedha kiasi hicho ndo wangeomba kuchangiwa?! Sema mnaogopa mafuriko ya kesho ndo mnaanza kujitekenya.

Kwa mwamko wa watu wa mtwara naamini magamba wa mtwara waliosalia watajificha mashimoni
 
Chato nyumbani kwa magufuli Hii ndo maana ya home ground,alienipa habari kuwa wana rock city wanawasubiri akina kiba&mond yuko rock city na alikuwepo kwenye hiyo tour ya wasanii,hakuna mahali nimeandika msukuma mbunge geita mjini,na waliosema mamvi kajinyea ni wananchi waliokuwepo kwenye mkutano wa magufuli pale chato wkt m/kiti ccm mkoa akihutubia sasa unawashwa nanini Dada au kwa7bu wanakupiga paipu hapo kitaa unataka nami nikugeuze nn acha hizo mrembo
 
Nasubiria mafuriko mengine kama/zaidi ya Bukoba.
Kila la kheri wana wa kusini,kesho tunawatazama nyie mmeyapokea vipi mabadiliko.

Mkuu nimeingia leo jioni mtwara nimekuta barabara zoote zinepambwa kuliko ujio wa obama
 
Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani
Utakuta wewe ni mtu mzima na una watoto unashabikia sera za kunya, kama umeishiwa subirini ukombozi waja.
 
Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani
BABA AKO ALITUMIA SHIMO LA NYUMA UKAZALIWA WW HARAM MKUBWA!!f c
 
Chato nyumbani kwa magufuli Hii ndo maana ya home ground,alienipa habari kuwa wana rock city wanawasubiri akina kiba&mond yuko rock city na alikuwepo kwenye hiyo tour ya wasanii,hakuna mahali nimeandika msukuma mbunge geita mjini,na waliosema mamvi kajinyea ni wananchi waliokuwepo kwenye mkutano wa magufuli pale chato wkt m/kiti ccm mkoa akihutubia sasa unawashwa nanini Dada au kwa7bu wanakupiga paipu hapo kitaa unataka nami nikugeuze nn acha hizo mrembo

Naona umejishtukia baada ya kugundulika kuwa ni choroko.hahaaaa haaaa macho..ko mna visa sana.Wewe si ndio ulisema msukuma ni m/kiti mkoa wa shinyanga au siye?
 
Chato nyumbani kwa magufuli Hii ndo maana ya home ground,alienipa habari kuwa wana rock city wanawasubiri akina kiba&mond yuko rock city na alikuwepo kwenye hiyo tour ya wasanii,hakuna mahali nimeandika msukuma mbunge geita mjini,na waliosema mamvi kajinyea ni wananchi waliokuwepo kwenye mkutano wa magufuli pale chato wkt m/kiti ccm mkoa akihutubia sasa unawashwa nanini Dada au kwa7bu wanakupiga paipu hapo kitaa unataka nami nikugeuze nn acha hizo mrembo

Naiona sheria ya uharifu mtandaoni ileee inapisha hodi mlangoni mwako
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia cdm/ukawa mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa anaingia mkoani mtwara na lindi kuifuta rasmi ccm na wana kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.



12002265_765255293601558_6669485358187490425_n.jpg
 
Utakuta wewe ni mtu mzima na una watoto unashabikia sera za kunya, kama umeishiwa subirini ukombozi waja.

Mijitu mingine ni afadhali kuifungia kwenye mabox na kuitosa ktk mto wenye mamba wenye njaa
 
Huko ndp magamba yalijitangazia utawala wa kijeshi ili kuleta guess kigamboni/kwao na jk....kisha isafirishwe china?

Nitawashangaaa kama kuna anayeshabkia ccm!
 
Back
Top Bottom