Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Mnashinda mitandaoni mnadanganyanaaa weeeeeeee kuipata nafasi unaandika Kama mwehu tuu ,hivi Wewe unaijua Tanzania vizuri au unajiandikiaaaa tu u kila maharage
Punguza Hasira Gamba wewe...wenzenu tumetoka kwenye campain za wagombea ukawa na keyboard pia tunazitumia kueneza ujumbe wa mabadiliko. Kama vipi changa ndimuuuuu na summmuuu ukaaanyweeee.
 
Hata wakati wanapata bakora za ukweli ili kupisha usafirishaji wa gas aliyewalipa alikuwa ni Edward N. L eti ehee??
Tuulize sisi wamakonde jinsi tulivyoadhibiwa hadi wengine walipoteza maisha. Sitaki niweke picha za kudhalilishwa kwetu kwani itamsha hasira za wana mtwara

Mkuu mwambie huyo gambaz
 
Punguza Hasira Gamba wewe...wenzenu tumetoka kwenye campain za wagombea ukawa na keyboard pia tunazitumia kueneza ujumbe wa mabadiliko. Kama vipi changa ndimuuuuu na summmuuu ukaaanyweeee.

Haswaaaaaaaa
 
Watu wanao andika mtandaoni. Wanaandika yanayotokea mtaani. Sasa nyie maccm tupeni habari za huko mitaani kwebu mnapokubalika. Achen kujitetea kuwa eti kura hazipigwi mitandaoni. Watu wa mitandaon ni hao hao wa kwenye jamii. Na wanawakilisha mawazo ya kwenye jamii. Ukweli ni kuwa uchaguzi huu umewakalia vibaya kila kona lowassa
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

jamani lowasa kila kona lowasa??? Magamba mtajinyea
 
nawaomben wana ccm,wana act,chauma,tumuunge mkono lowasa huu sio muda wa kushabikia vyama..tuliangalie taifa kwa mapana..ccm hil taifa limewashinda..utajl wetu unatumika ovyo,madin sio unyevu wa mvua kwamba yanayeyuka yanard ardhin..wananch wamegaragazwa kwenye tope la umaskn. shtkaaaa.stop existing start living..ccm is the grean snake in the grass..acha kufkr ka kondooo..
 
let us not inherit the stupidity of past generation,ccm they compare us a rubish and they ar blocking our progress,they have killed our past and are bussy killing our future..wanaandaa kabur ka hatar katka taifa la kesho..
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.
ila mzee lowasa anaumwa mpeni mapumziko japo kidogo sio vizuri kumtesa vile mpaka anapoteza memory
 
Ni kweli CCM imechoka, walioichokesha ccm ni Sumaye miaka 10, lowasa 3 na wenzao ambao walikuwa na wajibu wa kusimamamia utendaji wa serikali.
 
Sis leo huku kigambon tumehadiwa kivuko itakuwa ni bure baada ya mwanamabadiliko lowasa kuingia ikulu..hatutapoteza hii nafas asee.Asante Mungu kutuletea lowasa
 
Ila siyo kosa lako yaani mtu unaandika tusi huku umekunja sura mbayaa as if unaemwandikia unamfaham mmhhhh reyro jinsia gani ww au ni unthaa nn sio ishu ndg
 
Back
Top Bottom