Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Basi amalize na mzozo wa jimbo la Mtama ili mambo yaeleweke kiungwana

Mkuu hilo ni moja ya mambo yatakayozingatiwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa nape anaambulia 0000 kwenye jimbo la mtama
 
Tunatarajia Mzee wa Gas haitoki Ntwara the BG SHOW atahudhuria hadhara hiyo na atajiondoa rasm kutoka kundi la wazee wa mchakato,mkakati......Ntwara hoyeee ohoyeee.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu awajui tu laiti wangejua matusi yanawapungzia thamani kwawanchi wangeachana nayo. Sisi hatutaki matus tunataka watueleze kua wamefanya nini wameshindwa nini na nikwanini natukiwapa tena watatutoaje hapa tulipo. Mungu awatangulie wapunguze matus.

Kwa pro ccm silaha yao waliobakiwa nayo ni matusi
 
Tunatarajia Mzee wa Gas haitoki Ntwara the BG SHOW atahudhuria hadhara hiyo na atajiondoa rasm kutoka kundi la wazee wa mchakato,mkakati......Ntwara hoyeee ohoyeee.


Huyo yupo kambi ya Magufuli siku hizi...
 
Last edited by a moderator:
Tunatarajia Mzee wa Gas haitoki Ntwara the BG SHOW atahudhuria hadhara hiyo na atajiondoa rasm kutoka kundi la wazee wa mchakato,mkakati......Ntwara hoyeee ohoyeee.

Sasa hivi atakuwa keshajificha maana nimeona hata magari yao ya kampeini wameyaficha vichochoroni
 
Last edited by a moderator:
Nasikia siku ya kufunga kampeni watamwalika tena yule mbwa wao mkapa ili kuja kutukana tena watz

Hapo ndio watakuwa wamejimaliza kabisa na kuwafanya washindwe hata kuongoza kambi rasmi ya upinzani bungeni
 
Kikwete tunamwambia ccm itakiona cha mtema kuni. Ikulu imekuwa pango la walanguzi baada ya nyerere kufariki.
Hatutaki tena ukoo wa panya
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Evidence kusaport uzi wako mkuu...

We need changes jaman. Yes we can
 
Kikwete tunamwambia ccm itakiona cha mtema kuni. Ikulu imekuwa pango la walanguzi baada ya nyerere kufariki.
Hatutaki tena ukoo wa panya

Mkuu wakati wa kufanya maamuzi sahihi ni sasa maana muda haurudi
 
Mkuu hilo ni moja ya mambo yatakayozingatiwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa nape anaambulia 0000 kwenye jimbo la mtama
Mkuu ni maombi yetu mambo yaende shwari ili tujue nani anatekeleza ahadi mimi naamini ataweza tu ili kukata hii chain ya ulaji ili hata watoto wa wakulima wapate nafasi maana ni shida sana
 
Mkuu ni maombi yetu mambo yaende shwari ili tujue nani anatekeleza ahadi mimi naamini ataweza tu ili kukata hii chain ya ulaji ili hata watoto wa wakulima wapate nafasi maana ni shida sana

Sana mkuu maana walalahoi wa Tanzania tunaishi kama digidigu kwenye nchi yetu
 
Kikwete tunamwambia ccm itakiona cha mtema kuni. Ikulu imekuwa pango la walanguzi baada ya nyerere kufariki.
Hatutaki tena ukoo wa panya

Kwa pamoja tunaweza mkuu
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

Wakati lowasa bado yupo ana hutubia tandahimba watu wamefurika viwanja vya mashujaa mtwara, najitahidi kupata picha vizuri nashindwa ila nitajitahidi kuleta picha mzuri
 

Attachments

  • 1442838603435.jpg
    1442838603435.jpg
    62.6 KB · Views: 150
  • 1442838626996.jpg
    1442838626996.jpg
    67.7 KB · Views: 145
  • 1442838658750.jpg
    1442838658750.jpg
    62.3 KB · Views: 148
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

Hili swala la lowassa kuifuta rasmi ccm limeshaongelewa mara nyingi.
Sijui safari hii mnaifuta vipi tena.
Swali la ugomvi...
Je Mzee Makaidi naye atahutubia kumnadi mgombea??
 
Nasubiria mafuriko mengine kama/zaidi ya Bukoba.
Kila la kheri wana wa kusini,kesho tunawatazama nyie mmeyapokea vipi mabadiliko.
Watu wa mtwara bwana!!! Ukiwauliza mbona mmejiandikisha kwa wingi? Wanajibu " tuna maana yetu".. Sasa hiyo maana yao sijui nini??
 
Huo ndio ukweli CCM hawana jipya mwaka huu..bora kifo kuliko chanzo cha matatizo(ccm)
 
Watu wa mtwara bwana!!! Ukiwauliza mbona mmejiandikisha kwa wingi? Wanajibu " tuna maana yetu".. Sasa hiyo maana yao sijui nini??

Maana yao ni kuwa adabisha kwa kuwanyima kura
 

Attachments

  • 1442846494764.jpg
    1442846494764.jpg
    74.4 KB · Views: 160
Back
Top Bottom