Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

Asante Rais wangu kwa kufanya kampeni kistaarabu. Huwajibu wanaokutukana kwa kejeli na matusi, wala hujauwa mtu hata sisimizi.mungu aendelee kuwapigania kwenye mikutano ya kampeni zenu.
 
Chato nyumbani kwa magufuli Hii ndo maana ya home ground,alienipa habari kuwa wana rock city wanawasubiri akina kiba&mond yuko rock city na alikuwepo kwenye hiyo tour ya wasanii,hakuna mahali nimeandika msukuma mbunge geita mjini,na waliosema mamvi kajinyea ni wananchi waliokuwepo kwenye mkutano wa magufuli pale chato wkt m/kiti ccm mkoa akihutubia sasa unawashwa nanini Dada au kwa7bu wanakupiga paipu hapo kitaa unataka nami nikugeuze nn acha hizo mrembo

Siasa gani hizi za matusi. Hv mnadhani mkisema mtu kajinyea ndio itakayowaongezea kura. Hizi siasa za kale za maji taka kabisa.mnavyomtukana Lowasa ndivyo mnavyomuongezea kura hata anye hadharani wananchi tumeshaamua ndie Rais wetu.
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

vivaa lowasaaaaaaaaaaaa,round hii kombe linabaki monduliii kama kawa km dawa kombe lina baki ukawa
 
Kipi nimeongea ambacho ww unadhani nimekitoa kwenye akili yangu binafsi naona mnashindwa kutafuta ukweli wa hili lililosemwa na wanachato badala yake mnatiririsha matusi Mara sheria ya mtandao kwa lipi startv walikuwa online pale chato sasa km unauna wanachato kuongea vile ni sawa ila mwingine kunukuu yale ni kosa kaa na ulofa wako ila wanachato wameliongea hilo.

CCM hovyo kabisa mmeishiwa sera na hoja mmebaki matusi. Ila ninachoona ni kufilisika sera kichwani kumebaki kweupee nani wa kuwapeni kura.
 
ila mzee lowasa anaumwa mpeni mapumziko japo kidogo sio vizuri kumtesa vile mpaka anapoteza memory

Hujawahi kuona au kusikia mtu unasengenya mwenzako kuwa ni muathirika kuwa atakufa kesho ukafa wewe kabla yake.hii yote ni uoga maana mzee ana nyota ya kipekee roho zenu magamba zinaumia sana
 
Linner tazama post #82 page ya 9 hapo ndo utaona matusi ila kwangu sio ishu.
 
Kama kura za mitandaoni lowasa atashi da ila kura za box ni za makufuli
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.



Mkuu Ccm Imesha Jizika Yenyewe Kusini! Kesho Lowassa Anaenda Kuanua Matanga Ya Ccm, Ulikosea Kidogo Kwenye Uwasilishaji Ingawa Nayakubali Sana! Kesho Matanga Ya Ccm Kusini Yanaanuliwa Kiwanja Gani?! Nangwanda Sijaona? Uliona Wapi #tingatinga Likajiendesha Bila Operator?! Operator Mkuu Yuko Msoga Na Mafuta, Tingatinga Litasubiri Mno Amri Ya Operator
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Acha kuzusha uwongo wewe, tumefunga maduka kwa hiari yetu, hakuna aliyelipwa. Tuna mahaba na Raisi wetu mtarajiwa, rais wa watu . Chaguo la wengi ni chaguo la Mungu.
 
Ila siyo kosa lako yaani mtu unaandika tusi huku umekunja sura mbayaa as if unaemwandikia unamfaham mmhhhh reyro jinsia gani ww au ni unthaa nn sio ishu ndg
SINA JINSIA KAMA WEWE box
 
yaan lowasa anapendwa sana hapa kusini,,tatizo lipo moja kuhusiana na migogoro ya muda ya wagombea ubunge hususan mtwara mjini,masasi na mtama.Hivyo akiweza kusolve out kura zitakuwa za kwake ila la mcngi bila kujali wadhifa ya wagombea inatakiwa amsimamishe mgombea anayekubalika na watu wengi hususan kundambanda ktk jimbo la masasi na kumuacha mzee makaidi ambaye hana mvuto wa kisiasa kwa wana masasi kama mm
 
Hili ndo nilikua nataman sana litokee...maana huku wamejaa wafia Ccm wengi...wakipewa T-shirt na Kanga wameridhika...Karibu sana EL.
 
Ikulu ya magogoni mtaisikia tu, labda bilicanas kwa mboe
 
Ni kweli CCM imechoka, walioichokesha ccm ni Sumaye miaka 10, lowasa 3 na wenzao ambao walikuwa na wajibu wa kusimamamia utendaji wa serikali.

Akili zingine bwana ni sawa na za chekechea
 
Back
Top Bottom